http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Jiji la Arusha lang’ara nafasi za kidato cha tano


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Halmashauri ya jiji la Arusha imeendelea kung'ara kwa kupeleka wanafunzi 578 kidato cha tano toka katika shule zake 23 za sekondari. ...

Rais Wa Simba Fc Alazwa Muhimbili.....Mahakama yaelezwa anasumbuliwa na Figo
RC aagiza kusakwa waizi wa Magunia 1000 ya Mahindi ya Serikali.
Kigwangala ataja majina ya Majangili



Halmashauri ya jiji la Arusha imeendelea kung'ara kwa kupeleka wanafunzi 578 kidato cha tano toka katika shule zake 23 za sekondari.

Baadhi ya wazazi Jijini humo wameendelea kuishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kuendelea kuhakikisha elimu bora inatolewa kwa watoto wao.

"Kwakweli tunamshukuru sana rais John Magufuli kwa elimu bure na pia tunamshukuru kwa wateule wake mkuu wa mkoa Mhe Gambo, DC Daqqaro na zaidi Mkurugenzi wa jiji Athumani Kihamia kwa kua karibu na walimu na kamati za shule katika kuhakikisha wanatatua changamoto za walimu ili kuwapa motisha wafundishe watoto wetu vizuri" alinukuliwa Johari Lyimo mzazi wa mwanafunzi toka shule ya Sekondari Kaloleni.

Akizungumza kwa njia ya simu mkurugenzi wa Jiji Ndg Kihamia amewataka walimu kutokubweteka kwa matokeo hayo bali waendelee kuongeza bidii ili uwekezaji unaofanywa na serikali uakisiwe katika ufaulu wa watoto, na ameendelea kuwataka wazazi na walezi waendelee kutoa ushirikiano kwa walimu na serikali ili kusukuma mbele gurudumu la elimu nchini.

Halmashauri ya Jiji la Arusha imekua inakabiliwa na changamoto nyingi katika sekta ya elimu, serikali ya awamu ya tano kupitia kwa mkurugenzi wa Jiji Athuman Kihamia imekua ikijitahidi kutia majawabu kwa changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na kulipa madeni ya walimu kwa mapato ya ndani na kuongeza vyumba vya madarasa 147 kwa msingi na sekondari na ukarabati mkubwa wa vyumba 27 vya madarasa kwa kipindi cha miaka miwili na kuhakikisha kila shule ya sekondari ina maabara yenye vifaa vya kisasa.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Jiji la Arusha lang’ara nafasi za kidato cha tano
Jiji la Arusha lang’ara nafasi za kidato cha tano
http://msumbanews.com/wp-content/uploads/2017/06/IMG-20170612-WA0158.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/06/jiji-la-arusha-langara-nafasi-za-kidato.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/06/jiji-la-arusha-langara-nafasi-za-kidato.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy