http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Rais Wa Simba Fc Alazwa Muhimbili.....Mahakama yaelezwa anasumbuliwa na Figo


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

MWENDESHA Mashtaka Mwandamizi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa ,(Takukuru) , Leonard Swai ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Ki...

UKIMWI wa Paka umegunduliwa kwenye nchi ya Kenya
Wapinzani Waanika Sababu 6 za Kumng'oa Naibu Spika
Serikali Yakanusha Habari Zilizoandikwa na Gazeti la Kiingereza Kuwa Rais Magufuli Anaongoza Nchi Kwa Msukumo
MWENDESHA Mashtaka Mwandamizi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa ,(Takukuru) , Leonard Swai ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva amelazwa Hospital ya Taifa ya Muhimbili akisumbuliwa na Figo.

Aveva ni mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya uhujumu uchumi ambapo anashtakiwa pamoja na Makamu rais wa klabu ya Simba, Godfrey Nyange ‘Kaburu’ ambaye alikuwepo mahakamani hapo

Wakili Swai amedai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Victoria Nongwa kuwa upelelezi wa shauri hilo bado haujakamilika.

Amedai, walishachukua maelezo ya mshtakiwa wa pili na kwamba wanaangalia jinsi ya kupata maelezo ya mshtakiwa wa kwanza ambaye kwa sasa ni mgonjwa.Baada ya kueleza hayo Hakimu Nongwa ameaihirisha kesi hiyo hadi February 8,2018 kwaajili ya kutajwa.

Aveva na Kaburu wanakabiliwa na mashtaka matano ya kughushi, kuwasilisha nyaraka ya uongo na kutakatisha fedha Dola za kimarekani 300,000.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Rais Wa Simba Fc Alazwa Muhimbili.....Mahakama yaelezwa anasumbuliwa na Figo
Rais Wa Simba Fc Alazwa Muhimbili.....Mahakama yaelezwa anasumbuliwa na Figo
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEinzFEwVCGjfPq1oBpdkmXcb-Me1GY-GOrK47oxdmdnSzxRQ84_ObITLf4l2i63zIF5BI3umVNccekquG_-HtyJhLAfruoz30EQUj5Fyz1bwkcNmcDSP6Mz2a-noH3F3zJlMGdse4Wf7NdH/s640/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEinzFEwVCGjfPq1oBpdkmXcb-Me1GY-GOrK47oxdmdnSzxRQ84_ObITLf4l2i63zIF5BI3umVNccekquG_-HtyJhLAfruoz30EQUj5Fyz1bwkcNmcDSP6Mz2a-noH3F3zJlMGdse4Wf7NdH/s72-c/1.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2018/01/rais-wa-simba-fc-alazwa.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2018/01/rais-wa-simba-fc-alazwa.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy