http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

RC aagiza kusakwa waizi wa Magunia 1000 ya Mahindi ya Serikali.


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Christina Mdeme ameagiza kukamatwa mara moja na kufikishwa mahakamani wafanyakazi wote wa kitengo cha hifadhi y...

Trump: Kura zinaibiwa vituoni Marekani
Watu 50 wauawa kwenye mapigano Malakal, Sudan Kusini
WAFANYAKAZI NEW HABARI CORPORATION HATARINI KUWA VIZIWI
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Christina Mdeme ameagiza kukamatwa mara moja na kufikishwa mahakamani wafanyakazi wote wa kitengo cha hifadhi ya chakula cha taifa NFRA kanda ya Songea waliotajwa kuhusika na utoroshwaji wa mahindi ya serikali zaidi ya gunia 1000 na kuyahifadhi kwenye ghala la mfanyabiashara binafsi kinyume cha sheria.
Kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Ruvuma chini ya mkuu wa mkoa Christina Mdeme walifanya ziara ya kushitukiza baada ya kupata taarifa kutoka kwa raia wema kuwa kuna mahindi yaliyowekwa kwenye magunia ya serikali yanashushwa na kupekiwa upya kwenye mifuko ya kawaida nyakati za usiku na kuyahifadhi kwenye ghala la mfanyabiashara binafsi aliyefahamika kwa jina la Lotary Nkondola Safina.
Walinzi wa godauni hilo wamesema kuwa walipigiwa simu na mmiliki wa ghala kuwa kuna mahindi yanaletwa ya NFRA hivyo wasiondoke ambayo yametoka kituo cha Mgazini Peramiho na mengine makao makuu ya NFRA Songea magari manne yalihusika kubeba mahindi hayo Semtrela mbili na fuso mbili.
Meneja wa kitengo cha hifadhi ya chakula cha taifa NFRA kanda ya Songea Amos Mtafya amesema mara kadhaa wanatumia godauni hilo kuhifadhia mahindi ya serikali kutokana na uhaba wa maghala ya serikali.
Kufuatia hali hiyo mkuu wa mkoa alitoa amri ya kutaifisha mahindi yote yaliyokuwemo kwenye ghala hilo na kuwa mali ya serikali pamoja na kukamatwa kwa wahusika meneja wa NFRA Amos Mtafya,mtunza maghala Mariamu Mpangala na mhasibu Lugano Moses,wengine ni wafanyakazi wa godauni Beda Kinyero,mmiliki wa godauni Lotary Nkondora,Yodan Nchimbi na mlinzi Ado Ntuka.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : RC aagiza kusakwa waizi wa Magunia 1000 ya Mahindi ya Serikali.
RC aagiza kusakwa waizi wa Magunia 1000 ya Mahindi ya Serikali.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhQ3Ac2Ae1Vbe7ITBTqXwjqvvIcKsG1bN37bW_gVsQ-CbIfNqEk_066Gogl_iPGS1fBxffrZCh-_g84IC46V4RUo7yd-l7n_DlrM7m37W7f605k79hf-IncA0SKP9_VCP-kCGe9ogMgnlbe/s640/Screen-Shot-2017-04-25-at-11.09.47-AM.png
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhQ3Ac2Ae1Vbe7ITBTqXwjqvvIcKsG1bN37bW_gVsQ-CbIfNqEk_066Gogl_iPGS1fBxffrZCh-_g84IC46V4RUo7yd-l7n_DlrM7m37W7f605k79hf-IncA0SKP9_VCP-kCGe9ogMgnlbe/s72-c/Screen-Shot-2017-04-25-at-11.09.47-AM.png
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2018/01/rc-aagiza-kusakwa-waizi-wa-magunia-1000.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2018/01/rc-aagiza-kusakwa-waizi-wa-magunia-1000.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy