http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Simba yasajili wawili toka Toto na Ndanda


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

 Dar es Salaam. Mabingwa wa Kombe la FA, Simba imefanikiwa kuwasajili wachezaji wawili beki wa Toto Africans, Yusuph Mlipili pamoja na Ahm...

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Yalaani Matamshi ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa
Rufaa ya Kesi ya Lema Agosti 6
Wahenga wa Escrow wazidi kuibuka

 Dar es Salaam. Mabingwa wa Kombe la FA, Simba imefanikiwa kuwasajili wachezaji wawili beki wa Toto Africans, Yusuph Mlipili pamoja na Ahmed Msumi wa Ndanda.

Chanzo cha uhakika kutoka ndani ya Simba kilisema wachezaji hao kila mmoja ametimiziwa matakwa yake aliyotaka kabla ya kutia saini.

"Mazungumzo na Msumi yalianza mapema zaidi na sasa tutamalizana naye, tunashukuru Mungu tumekamilisha usajili huo," alisema.

"Kikosi kimeanza mazoezi leo Jumamosi katika Uwanja wa Polisi Kurasini kwa ajili ya maandalizi

ya Kombe la SportPesa," alisema.

Kigogo huyo alisema kuwa usajili wa Yusuph ulikuwa wa ushindani kwani Yanga, Azam na Singida United walikuwa wanamuhitaji pia.

"Tunaendelea na usajili wetu kimya kimya, lakini katika wachezaji ambao tumeshawasajili hakukua na vikwazo vingi kama tulivyokutana navyo kwa Yusuph," alisema.

Simba bado tunaendelea na usajili na tupo katika mazungumzo na wachezaji wengi wa ndani na nje ya nchi na muda si mrefu tutamalizana nao kama tulivyofanya kwa hawa wengine.

"Kama ripoti ya kocha inavyosema kuwa tunatakiwa kusajili wachezaji katika baadhi ya maeneo ambayo yalikuwa na mapungufu msimu uliopita basi kamati ya usajili ikiongozwa na Hans Pope wataendelea kukamilisha zoezi hilo," alisema.

Simba wameingia kambini chini ya kocha Joseph Omog na Nicko Kihondo wakiwa na wachezaji Juma Luizio, Agyei, James Kotei, Fredreck Blagnon, Basela Bokungu, Peter Manyika, Denis Richad, Mohamed Kijiko na wachezaji wengine kutoka timu ya vijana.

"Wachezaji hao ndio wapo kambini kwa sasa huku kocha Jackson Mayanja akiwa hajawasili bado kwa kuwa na matatizo ya kifamilia huko kwao Uganda na timu inafanya mazoezi mara moja kwa siku na kesho,Jumapili tutacheza mechi ya kirafiki hapa hapa katika uwanja wa Polisi Kurasini," alisema

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Simba yasajili wawili toka Toto na Ndanda
Simba yasajili wawili toka Toto na Ndanda
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEifaGV2WeeoIY1EXREDLrUhteWTlL8fTxN3rIkF10v5SMgdpQbLL9SIdUPjBI2UmJceG76f6EXMgwU9FeG2wmsWhvdrRluo7Y1gnsqhZoXVRoep8Smiv_NzfsOhli3JNT0SZsj4qf_Ja7kV/s400/Simba-Kikosi-2016-17.webp
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEifaGV2WeeoIY1EXREDLrUhteWTlL8fTxN3rIkF10v5SMgdpQbLL9SIdUPjBI2UmJceG76f6EXMgwU9FeG2wmsWhvdrRluo7Y1gnsqhZoXVRoep8Smiv_NzfsOhli3JNT0SZsj4qf_Ja7kV/s72-c/Simba-Kikosi-2016-17.webp
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/06/simba-yasajili-wawili-toka-toto-na.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/06/simba-yasajili-wawili-toka-toto-na.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy