http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Meya wa Jiji la Arusha Amtaka Mkuu wa Mkoa Amuombe Radhi


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro ametoa siku saba kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amuombe radhi kwa kosa la kumuweka ndani...

Rais Magufuli atangaza kiama kwa waliojenga barabarani
Mwanafunzi wa Kike aweka Rekodi Arusha, kuiwakilisha Tanzania nchini Malawi Mafunzo ya Sayansi.
Tundu Lissu agoma Kupimwa mkojo


Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro ametoa siku saba kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amuombe radhi kwa kosa la kumuweka ndani wakati alipokuwa anakabidhi rambirambi kwa wazazi waliofiwa kwenye ajali ya gari la Shule ya Msingi Lucky Vincent.


Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake jana Ijumaa, Lazaro alisema mpaka sasa ameshindwa kuelewa ni kwanini mkuu huyo aliagiza meya pamoja na wenzake wakiwemo viongozi wa dini, madiwani, wawakilishi waliotoa rambirambi na mwenye shule kukamatwa na Jeshi la Polisi na kuwekwa ndani.


"Mimi sikuwa na shida na RC na kitendo cha kumuweka ndani kiongozi wa dini, paroko, kiongozi wa dini ya Kiislamu ni kitendo ambacho si cha kibinadamu na anapaswa aombe radhi umma,"alisema.


Pia, alimtaka kutafakari nafasi yake na kuona kuwa anafaa kuendelea kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha kwasababu ameonyesha kuwatumikia wananchi ambao hawaheshimu.


"Hana heshima na mbunge, madiwani, watu wenye degree zao, haheshimu viongozi wa dini halafu bado anataka uongozi,"alisema.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Meya wa Jiji la Arusha Amtaka Mkuu wa Mkoa Amuombe Radhi
Meya wa Jiji la Arusha Amtaka Mkuu wa Mkoa Amuombe Radhi
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiwQsbI7zuw-VV5-CiBRwkl7XYC0r5XwejArdE5GMlYiKrxxSorThPLer_ixbPnoqn9UtUR9ImeWdU0Yqx9QHWh5D1MmZ74d1bzfHEgcE3z8wzavra7omnTNeQkLgbvvHBIsHLmikm_f3Mm/s640/1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiwQsbI7zuw-VV5-CiBRwkl7XYC0r5XwejArdE5GMlYiKrxxSorThPLer_ixbPnoqn9UtUR9ImeWdU0Yqx9QHWh5D1MmZ74d1bzfHEgcE3z8wzavra7omnTNeQkLgbvvHBIsHLmikm_f3Mm/s72-c/1.JPG
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/06/meya-wa-jiji-la-arusha-amtaka-mkuu-wa.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/06/meya-wa-jiji-la-arusha-amtaka-mkuu-wa.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy