http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

‘Tumebaki nusu bwenini’


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Wanafunzi wa shule mbalimbali za jijini Arusha wakibubujikwa na machozi walipohudhuria ibada maalumu ya kuaga miili ya wanafunzi 32, walim...

Godbless Lema Amtumia Waraka Mzito Rais Magufuli
Freeman Mbowe na Tundu Lissu Waitwa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi
Bw. Hassan Abbas ateuliwa kuwa mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO)


Baada ya Shule ya Msingi ya Lucky Vicent kupoteza wanafunzi 32, walimu wawili na dereva katika ajali ya gari iliyotokea wilayani Karatu, wanafunzi wengine wamesema wamebaki nusu ya wanafunzi bwenini.

Kila mwanafunzi ameonekana mwenye hisia katika hafla maalumu ya kuaga miili ya wenzao kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini hapa na msiba huu unaonekana utaendelea kuwa katika vichwa vya wanafunzi waliobaki kwa muda mrefu.
Ndiyo maana imemlazimu Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk Eva Maria Semakafu kutoa ushauri wa uongozi wa elimu jijini Arusha, kuwatafutia mwalimu wa saikolojia ili awawezeshe kukabiliana na hali hiyo.

Noreen Josia, mwanafunzi wa shule hiyo anayesoma darasa la sita, anasema hatasahau msiba huo.
Anasema alishtushwa na taarifa kuwa gari lao la shule limepata ajali kutokana na simu ambazo zilikuwa zinapigwa na pia taarifa kusambaa kwenye mitandao ya kijamii.
“Nilirudi shuleni kuuliza kama ni kweli, nikaambiwa ni kweli. Tangu wakati huo hadi sasa, sijisikii vizuri, nahisi kuumwa kwa kuwa bwenini kwetu karibu nusu ya wanafunzi sijawaona. Nadhani wamefariki,” amesema huku akitokwa na machozi.

Noreen, ambaye muda mwingi, alikuwa ameshikiliwa na watoa huduma wa Msalaba Mwekundu, alisema: “Siwezi kusahau kwa kuwa tulikuwa nao bwenini wakati wakijiandaa kwenda kwenye mitihani ya majaribio Karatu na tuliagana. Sasa kuambiwa hawapo tena ni jambo ambalo siwezi kusahau,” anasema.

Noreen anawakilisha idadi kubwa ya wanafunzi wa shule hiyo ambao wameathiriwa na msiba huo mkubwa wa aina yake na ambao wamepewa siku saba za mapumziko kwa majili ya kutuliza akili.
Mwalimu mkuu wa shule hiyo, Ephraim Jackson anasema, wanafunzi 96 wa darasa la saba ndio walisafiri kati ya wanafunzi 106 wa darasa hilo

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : ‘Tumebaki nusu bwenini’
‘Tumebaki nusu bwenini’
http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/3919204/highRes/1636273/-/maxw/600/-/7ekpp0z/-/pic+bwenini.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/05/tumebaki-nusu-bwenini.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/05/tumebaki-nusu-bwenini.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy