http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Sumaye: Sirudi CCM hata waninyang’anye Mashamba Yangu Yote


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Siku moja baada ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kutangaza nia ya Serikali kumnyang’anya shamba Waziri Mk...

Ukweli kuhusu Mtu aliyelipa fedha za Ndege ya Matibabu ya Lissu.
Mwanasiasa maarufu wa upinzani atekwa nyara
Breaking News: VIDEO,Jambazi Aliyeongoza Mauaji ya Polisi 8 Kibiti Auawa -Dar



Siku moja baada ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kutangaza nia ya Serikali kumnyang’anya shamba Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, mwanasiasa huyo mkongwe amedai hilo halimtikisi.


Sumaye ambaye tayari ameshakabidhiwa notisi ya siku 90 kutokana na kutoliendeleza, amesema kuwa tayari suala hilo ameshaliwasilisha mahakamani na kwamba mwanasheria wake ndiye anayefahamu tarehe iliyopangiwa kesi hiyo.


“Nilienda mahakamani na ikaamuriwa kusiwe na shughuli yoyote, nasubiri tarehe ya kesi ambayo mwanasheria wangu ndiyo anaijua,” Sumaye anakaririwana MwanahalisiOnline.


Mwanasiasa huyo aliyehamia Chadema miezi michache kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka jana, amesema kuwa kama CCM wanataka kumdhoofisha kwa kumnyang’anya mashamba ili arejee haitawezekana.


“Kama walidhani kwa kunifanyia hivi nitarudi Chama Cha Mapinduzi (CCM) wasahau, hata kama nilikuwa na nia hiyo sirudi,” amesema Sumaye.


Serikali imetangaza kuanza mchakato wa kumnyang’anya Sumaye shamba lake lililoko Mwabwepande jijini Dar es Salaam kwa madai kuwa ameshindwa kuliendeleza kwa muda mrefu, kinyume na matakwa ya sheria.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Sumaye: Sirudi CCM hata waninyang’anye Mashamba Yangu Yote
Sumaye: Sirudi CCM hata waninyang’anye Mashamba Yangu Yote
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjMguJTUZB0JzRUDL5hNSJ5fb8mfRFYVnTgoalOh4URtSUk_Yn4nXkt3e3acSGCXJucUiwILZNUjXQsl7NhunJUuZQ9l3ZVwQ6ftgN0JmBoNfvGDMkkf7auTDD6KV8cRsrG5knWY6Dj7R4O/s640/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjMguJTUZB0JzRUDL5hNSJ5fb8mfRFYVnTgoalOh4URtSUk_Yn4nXkt3e3acSGCXJucUiwILZNUjXQsl7NhunJUuZQ9l3ZVwQ6ftgN0JmBoNfvGDMkkf7auTDD6KV8cRsrG5knWY6Dj7R4O/s72-c/1.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2016/10/sumaye-sirudi-ccm-hata-waninyanganye.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2016/10/sumaye-sirudi-ccm-hata-waninyanganye.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy