Staa wa rnb mwenye uwezo wa kuandika,kutengeneza na kurekodi muziki Jhené Aiko ameachana rasmi na mume wake wa miezi 11 producer Dot ...
Staa wa rnb mwenye uwezo wa kuandika,kutengeneza na kurekodi muziki Jhené Aiko ameachana rasmi na mume wake wa miezi 11 producer Dot da Genius.
Karatasi za talaka yao zinasema sababu ya kuachana na tofauti zilizonje ya uwezo wao kwenye ndoa yao,
Hivi karibuni Jhene Aiko amehusishwa kuchepuka na rapa Big Sean.
Aiko na Dot hawana watoto kwenye mahusiano yao ila Jhené anamtoto wa kike ‘Namiko Love‘ kutoka kwenye mahusiano yake ya nyuma na kaka yake Omarion ‘O’Ryan’ .