http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Rais Uhuru kenyata apata mpinzani mpya


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Nairobi, Kenya. Mahakama Kuu ya Kenya imeiamuru Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kumjumuisha mgombea urais kwa muungano wa Thirdwa...

Sud News: Hiace Yawaka Moto na Kuua Watu Watano
Sikiliza Sauti ya Lissu kwa mara ya kwanza Nairobi hii leo
Orodha ya Kwanza ya majina ya Wanafunzi waliopata Mikopo Elimu ya Juu 2017/2018

Nairobi, Kenya. Mahakama Kuu ya Kenya imeiamuru Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kumjumuisha mgombea urais kwa muungano wa Thirdway Alliance, Ekuru Aukot katika uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26.

Hukumu hiyo imetolewa siku moja baada ya mgombea urais kwa tiketi ya muungano wa upinzani wa National Super Alliance (Nasa) Raila Odinga kujiondoa katika uchaguzi huo wa marudio akitoa wito Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuitisha mpya.

Kiongozi huyo wa Nasa amesema uamuzi huo ni kwa maslahi ya Kenya. Waziri Mkuu huyo wa zamani amesema kwa kujiondoa kwake nchi itapata fursa ya kushiriki uchaguzi mkuu mpya uliohuru na haki kwa mujibu wa sheria.

Uamuzi wa Jaji

Akitoa hukumu leo asubuhi, Jaji John Mativo ameitaka IEBC kurekebisha taarifa ya kwenye Gazeti la Serikali kuhusu idadi ya wagombea urais katika uchaguzi wa marudio na kujumuisha jina la Aukot.

Jaji Mativo amesema Aukot alikuwa sehemu ya waliokuwa wanapinga ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta kama mtu mwenye maslahi na kesi hiyo.

Jaji amesema haoni sababu kwa nini mrufani asijumuishwe kwenye uchaguzi huo. Pia, amesema kutomjumuisha Aukot kwenye uchaguzi huo utakuwa ukiukwaji wa haki zake.


Tangazo la Gazeti la Serikali liliwataja wagombea wawili Rais Uhuru Kenyatta na mpinzani wake mkuu Raila Odinga. Hatua ya Odinga kutangaza kujiondoa jana na leo mahakama kutoa hukumu inayotaka Aukot ajumuishwe inazidi kutia shaka kuhusu uwezekano wa uchaguzi wa marudio kufanyika kama Mahakama ya Juu ilivyoagiza iliposoma hukumu iliyobatilisha ushindi wa Rais Uhuru katika kesi ya kupinga matokeo ya urais iliyofunguliwa na Odinga.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Rais Uhuru kenyata apata mpinzani mpya
Rais Uhuru kenyata apata mpinzani mpya
https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEjZ8cQY94KxJa3sDsf0Fw4ict10wQwmYt8PsLbas7vBXLUs8yQUUNeL2FTOlzH2SWGdlnHtKQIUme3ZdmGJN58CJEbuNLtmhpxwDsCyKBfX7BIyaGis1X1uQZbGpNgTBUbec62mTRoCFiVGiyYsietJBgRMmABPK0QX9KDCe9On9vKJ8RqClljLm_Tp91lTdfG-LB0EChwenOW4SQ24bxltHHMn=s0-d
https://blogger.googleusercontent.com/img/proxy/AVvXsEjZ8cQY94KxJa3sDsf0Fw4ict10wQwmYt8PsLbas7vBXLUs8yQUUNeL2FTOlzH2SWGdlnHtKQIUme3ZdmGJN58CJEbuNLtmhpxwDsCyKBfX7BIyaGis1X1uQZbGpNgTBUbec62mTRoCFiVGiyYsietJBgRMmABPK0QX9KDCe9On9vKJ8RqClljLm_Tp91lTdfG-LB0EChwenOW4SQ24bxltHHMn=s72-c-d
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/10/rais-uhuru-kenyata-apata-mpinzani-mpya.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/10/rais-uhuru-kenyata-apata-mpinzani-mpya.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy