http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Faida 10 za kunywa maji ya limao kila siku asubuhi


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Pindi utakapoamua kunywa maji ya limao kwa kila siku asubuhi unaweza ukapata faida zifuatazo; 1.Huongeza Kinga yako ya mwili hasa kupam...

INASIKITISHA. FAHAMU MAAJABU 6 YA KOREA KASKAZINI
Ukweli kuhusu dua ya Albadiri katika dini ya Uislamu
Tambua Madhara ya Sindano za uzazi wa mpango....


Seebait.com 2017Pindi utakapoamua kunywa maji ya limao kwa kila siku asubuhi unaweza ukapata faida zifuatazo;

1.Huongeza Kinga yako ya mwili hasa kupambana na magonjwa madogo kama mafua, na kikohozi kutokana na kuwa na vitamin C

2. Husafisha Mfumo wako wa chakula, kuondoa sumu mwilini na kuzuia tumbo kujaa gesi mara kwa mara

3. Huleta hewa safi kinywani. Ni Muhimu sana kwa watu wanaonuka midomo

4. Hukuongezea uchangamfu na kufanya siku yako ianze vizuri sana

5. Husaidia majeraha kupona kwa haraka kutokana na kuwa na ascorbic acid ya kutosha. Pia huimarisha mifupa

6. Husaidia mmeng’enyo wa chakula utakachokula asubuhi au mchana kwa kuondoa vikwazo vyote vinavyoweza kuzuia umeng’enyaji wa chakula.

7. Himarisha Ngozi yako, kuondoa makunyanzi na kukupa muonekano mzuri.

8. Husaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza uzito kwani maji moto ya limao huyeyusha mafuta ya kutosha.

9. Huyapa macho yako afya nzuri na kuimarisha kuona.

10. Huondoa hali ya kuhitaji kahawa kila asubuhi ambayo si nzuri kiafya.

Muhimu; kamua maji ya limau na unjwe walau mara mbili kwa siku kwa muda wiki moja mfululizo utaona matokeo yake.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Faida 10 za kunywa maji ya limao kila siku asubuhi
Faida 10 za kunywa maji ya limao kila siku asubuhi
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhv15nOBEciIW2I-wB8DE6kn9IvzOkTOankmpSFyGKcI4vdWYnrclV9DZYoUXTEy8DZcg_UagmFtO2MWVID1lES-WO5dkVJiOJdx1z-fD2dOhrjAs6iqgyywZirOyGo0ve35u6amzL1mc0T/s640/lemon.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhv15nOBEciIW2I-wB8DE6kn9IvzOkTOankmpSFyGKcI4vdWYnrclV9DZYoUXTEy8DZcg_UagmFtO2MWVID1lES-WO5dkVJiOJdx1z-fD2dOhrjAs6iqgyywZirOyGo0ve35u6amzL1mc0T/s72-c/lemon.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/06/faida-10-za-kunywa-maji-ya-limao-kila.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/06/faida-10-za-kunywa-maji-ya-limao-kila.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy