http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Faida za majani ya Stafeli


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Katika somo hili tutaona umhimu au faida 12 za majani ya mti wa mstafeli katika afya. Juisi yake hutibu kansa haraka na kwa ufanisi zai...

Utafiti: Nyama ya nguruwe ni hatari kwa afya yako
Zifahamu Nchi 10 zenye watu wenye iq ndogo zaidi duniani. (wastani)
Dalili 5 Za Mwanaume Anayekupenda Kwa Dhati
Katika somo hili tutaona umhimu au faida 12 za majani ya mti wa mstafeli katika afya.

  • Juisi yake hutibu kansa haraka na kwa ufanisi zaidi
  • Ina nguvu mara 10,000 zaidi ya tiba ya mionzi katika kuziua seli za kansa
  • Hutibu maumivu ya nyuma ya mgongo/low back pain
  • Ni tiba ya asili ya maumivu ya mishipa, yasage majani yake mpaka yalainike kabisa kisha paka taratibu eneo la mshipa lililo na maumivu mara 2 kwa siku
  • Hutibu maumivu ya jongo/gout
  • Hurekebisha usawa wa kiasi cha damu sukari mwilini
  • Huongeza kinga ya mwili
  • Hudhibiti ukuwaji wa bakteria, virusi, vijidudu nyemelezi na uvimbe
  • Huongeza stamina ya mwili na kurahisisha kupona haraka unapokuwa mgonjwa
  • Hutibu jipu na vivimbe
  • Hukimbiza chawa

Utatumiaje majani ya mstafeli kama dawa? Tengeneza chai kutokana na majani freshi ya mstafeli na unywe kikombe kimoja kutwa mara 3 kwa mwezi mmoja. Inashauriwa hiyo chai unywe nusu saa kabla ya chakula cha asubuhi, mchana na jioni.

Kama hutaweza kupata majani freshi ya mti wa mstafeli unaweza kutumia majani makavu ya mti huu yaliyo katika mfumo wa unga kwenye maduka ya dawa za asili sehemu nyingi hapa Tanzania.

Kwenye hiyo chai ya majani ya mstafeli ndani yake weka vitu hivi pekee; maji ya chai, majani ya mstafeli na asali au sukari, usiongeze majani mengine ya chai humo. Pia inashauriwa utengeneze chai ya kutosha kuitumia kutwa nzima yaani uchemshe vikombe vitatu kwa wakati mmoja na uinywe kikombe kimoja kutwa mara tatu.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Faida za majani ya Stafeli
Faida za majani ya Stafeli
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjUy5vx_qKDtCcfBoiMqegMUoCL-paE-cZV5asvzBuf8frCiyquiW4txC8jurAhhAINluNs7mmjt2ngOw0qS3sQLTdDjLp_r5Zku95-0x6qKeAWcXfX6NxIzJdzZ_1cV8mxK6nMf2nND8I/s640/staferi.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjUy5vx_qKDtCcfBoiMqegMUoCL-paE-cZV5asvzBuf8frCiyquiW4txC8jurAhhAINluNs7mmjt2ngOw0qS3sQLTdDjLp_r5Zku95-0x6qKeAWcXfX6NxIzJdzZ_1cV8mxK6nMf2nND8I/s72-c/staferi.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/04/faida-za-majani-ya-stafeli.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/04/faida-za-majani-ya-stafeli.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy