http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Lipumba Amtumbua Maalim Seif......Amteua Magdalena Sakaya Kukaimu Nafasi ya Katibu Mkuu CUF


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Mgogoro wa Uongozi wa Chama cha Wananchi CUF umeendelea kufukuta ambapo Mwenyekiti wa Chama hicho anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili Vyam...

Breaking News: Jamali Malinzi hatoweza kushiriki uchaguzi TFF
CCM Walaani Matamshi ya Lowassa......Waitaka Serikali Imchukulie Hatua
MBOWE:Kufukuza waandishi wa habari wakifanya kazi yao si sawa

Mgogoro wa Uongozi wa Chama cha Wananchi CUF umeendelea kufukuta ambapo Mwenyekiti wa Chama hicho anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili Vyama vya Siasa nchini Prof. Ibrahim Lipumba amemteua Naibu Katibu Mkuu Bara, Magdalena Sakaya kukaimu nafasi ya Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad baada ya Maalim Seif kukaidi wito wa Mwenyekiti wake kwenda Ofisi kuu Buguruni kwa zaidi ya mara nne


Prof. Lipumba akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam pamoja na wafuasi wa chama hicho, amesema Maalim Seif amekaidi wito wa kwenda Makao Makuu Buguruni tangu Septemba 23 mwaka jana kwa ajili ya kusimamia mkutano wa kamati ya Utendaji ambao ulitakiwa kujadili mambo kadhaa ya chama hicho


Aidha, Prof. Lipumba amewavua madaraka wakurugenzi kutoka Zanzibar akiwemo Salim Bimani aliyekuwa Mkurugenzi wa Habari na Uenezi, Omar Ali Salehe Mkurugenzi Mipango na Uchaguzi, Abdalah Bakar Khamis Mkurugenzi wa Fedha na Uchumi, Pavu Juma Abdallah - Haki za Binadamu, Mahima Ali Mahima Katibu Mtendaji JUVICUF pamoja na Yusuph Salim Naibu Mkurugenzi Ulinzi na Usalama CUF wote kutoka Zanzibar.


Chama cha Wananchi CUF kimekumbwa na Mgogoro wa uongozi tangu Prof. Lipumba alipotangaza kujiuzulu uongozi wa chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, ambapo baadaye alitangaza kurudi na kufanyika mkutano mkuu ambao ulivurugika na kusababisha mpasuko kati ya CUF bara na CUF Zanzibar.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Lipumba Amtumbua Maalim Seif......Amteua Magdalena Sakaya Kukaimu Nafasi ya Katibu Mkuu CUF
Lipumba Amtumbua Maalim Seif......Amteua Magdalena Sakaya Kukaimu Nafasi ya Katibu Mkuu CUF
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh8XoceyTJa9vTZ9clZT1PdsKWVb4sslKmPevLlMIDIQ4KIYlwhPe5b9vFY6RcJV1gwcwmTclLieru4Nj-Oqccl1eUbIT7dVcs6InMzOnk3K72kjxVqnB95FDkOLs65ZmsWD1M_CW5uBQx_/s640/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh8XoceyTJa9vTZ9clZT1PdsKWVb4sslKmPevLlMIDIQ4KIYlwhPe5b9vFY6RcJV1gwcwmTclLieru4Nj-Oqccl1eUbIT7dVcs6InMzOnk3K72kjxVqnB95FDkOLs65ZmsWD1M_CW5uBQx_/s72-c/1.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/03/lipumba-amtumbua-maalim-seifamteua.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/03/lipumba-amtumbua-maalim-seifamteua.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy