http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Siku ya Sheria duniani ilivyoadhimishwa kisiwani Pemba


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Jaji kutoka Mahakama kuu Zanzibar, Rabia Husein Moh'd , akiangoza maandamano ya Wanasheria katika maadhimisho ya siku ya sheria Zanz...

RUKWA: Diwani wa CHADEMA Amejivua uanachama nakujiunga na CCM
KIONGOZI, Julius Mtatiro Avuliwa uanachama wa chama cha CUF
Bunge lazungumzia afya ya Spika Ndugai

Jaji kutoka Mahakama kuu Zanzibar, Rabia Husein Moh'd , akiangoza maandamano ya Wanasheria katika maadhimisho ya siku ya sheria Zanzibar, yalioanzia katika jengo la Mahakama hadi Kiwanja cha Tenis Chake Chake-Pemba.

Jaji kutoka Mahakama kuu Zanzibar, Rabia Husein Moh'd , akiangoza maandamano ya Wanasheria katika maadhimisho ya siku ya sheria Zanzibar, yalioanzia katika jengo la Mahakama hadi Kiwanja cha Tenis Chake Chake-Pemba.



Jaji kutoka Mahkama kuu Zanzibar, Rabia Hussein Moh'd , akizungumza neno kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Mwanajuma Majid Abdalla, akizungumza na Wananchi na Wanasheria huko Kisiwani Pemba , wakati wa maadhimisho ya siku ya Sheria Zanzibar.

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Mwanajuma Majid Abdalla, akizungumza na Wadau mbali mbali wa Sheria wakiwemo , Majaji, Mahakimu , Wanasheria na wananchi mbali mbali katika maadhimisho ya siku ya Sheria Zanzibar.

Jaji Kutoka Mahakama kuu ya Zanzibar, Rabia Husein Moh'd, akikaguwa Paredi rasmi, lililoandaliwa na kikosi cha Polisi Kisiwani Pemba, katika maadhimisho ya siku ya Sheria Zanzibar siku huko katika Jengo la Mahakama Chake Chake -Pemba.

Baadhi ya Wafanyakazi wa Mahakama Chake Chake na Wananchi mbali mbali Kisiwani Pemba, wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi ambae pia ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Mwanajuma Majid Abdalla katika Maadhimisho ya siku ya Sheria Zanzibar.





Picha na Habiba Zarali-Pemba.


Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Siku ya Sheria duniani ilivyoadhimishwa kisiwani Pemba
Siku ya Sheria duniani ilivyoadhimishwa kisiwani Pemba
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjf9pZInHxowrwW2K27zGghpyAW6hW8dLod0NqjRaN-shOJPUWV29QmxfGsgbF5_MyvpCvIAfk4r65pYxNERuBD52ucJxa8VYOw5qndVQJu5_fWVdUO96kBRb7wGnliU-oe2TICt9paaAE/s640/20170209_085635.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjf9pZInHxowrwW2K27zGghpyAW6hW8dLod0NqjRaN-shOJPUWV29QmxfGsgbF5_MyvpCvIAfk4r65pYxNERuBD52ucJxa8VYOw5qndVQJu5_fWVdUO96kBRb7wGnliU-oe2TICt9paaAE/s72-c/20170209_085635.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/02/siku-ya-sheria-duniani-ilivyoadhimishwa.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/02/siku-ya-sheria-duniani-ilivyoadhimishwa.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy