http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Buhari: Nigeria imekuwa maskini ghafla


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

    Kiongozi wa Nigeria Muhammadu Buhari amelalamika kwamba taifa hilo lenye watu wengi zaidi b...

Semakafu atoa mwongozo umri wa mwanafunzi kujiunga kidato cha tano/sita, 2018
Vyuo 163 Vyafungiwa Udahili,NACTE
Bara la Afrika Kugawanyika Mara Mbili

 
 
Kiongozi wa Nigeria Muhammadu Buhari amelalamika kwamba taifa hilo lenye watu wengi zaidi barani Afrika limekuwa maskini ghafla.

Amesema hayo siku moja tu baada ya Afrika Kusini kutwaa tena nafasi ya taifa lenye uchumi mkubwa barani Afrika.

Nigeria ilikuwa imeshikilia nafasi hiyo kwa miaka miwili baada ya kutathmini upya uchumi wake.

Afrika Kusini iliipita Nigeria baada ya kutumiwa kwa viwango vya sasa vya ubadilishanaji wa fedha dhidi ya dola ya Marekani.

Sarafu ya rand ya Afrika Kusini imeimarika pakubwa ilhali naira ya Nigeria imeshuka sana.

Kwa sasa, thamani ya uchumi wa Afrika Kusini ni $301bn (£232bn) nao uchumi wa Nigeria $296bn.

Mataifa yote mawili hata hivyo si thabiti kiuchumi.Buhari



Akiongea mjini Abuja, Bw Buhari alisema: "Umekuwa mwaka mgumu sana kwa Nigeria. Kabla yetu kuingia madarakani, mafuta yaliuzwa $100 (£77) kwa pipa. Bei hii ilishuka hadi $37, na sasa ni kati ya $40 na $45 kwa pipa."

"Ghafla, tumekuwa taifa maskini, lakini kujitolea kwetu kuhakikisha uwazi na uwajibikaji kunazuia wananchi kuhisi kwamba kuna upungufu mkubwa katika uchumi."

Bw Buhari alichukua mamlaka mwaka jana baada ya kushinda uchaguzi wa urais.

Aliahidi kukabiliana na ufisadi na kuinua uchumi wa Nigeria.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Buhari: Nigeria imekuwa maskini ghafla
Buhari: Nigeria imekuwa maskini ghafla
http://ichef-1.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/15C58/production/_90767198_e8d41f1f-b2c6-424f-8004-56942e9e3613.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2016/08/buhari-nigeria-imekuwa-maskini-ghafla.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2016/08/buhari-nigeria-imekuwa-maskini-ghafla.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy