http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Vyuo 163 Vyafungiwa Udahili,NACTE


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte), imevipika marufuku takribani vyuo 163 vilivyopo nchini Tanzania kuacha kuwafanyia udahili w...

RIDHIWANI ASAIDIA MAGODORO 50 MORETO BAADA YA BWENI KUUNGUA
MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WA MUUNGANO WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI NCHINI UTPC WAANZA JIJINI MWANZA.
Waziri Mwigulu Nchemba Aliagiza Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya kuwakamata Walimu wanaoonekana katika picha ya video wakimuadhibu Mwanafunzi kikatili.
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte), imevipika marufuku takribani vyuo 163 vilivyopo nchini Tanzania kuacha kuwafanyia udahili wa masomo wanafunzi wanaotarajia kujiunga na elimu ya juu kwa mwaka 2018 kutokana na kutokidhi vigezo.

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Kitengo cha Udahili Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi, Twaha Twaha leo (Machi 23, 2018) wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam na kusema baraza linawataka waombaji wa nafasi za mafunzo kwa ngazi za Astashahada na Stashahada kwa muhula wa masomo wa Machi/Aprili, 2018 kuomba kwenye vyuo vilivyokidhi ubora ambavyo vimeorodheshwa kwenye tovuti ya baraza na sio vinginevyo.

"Baraza lilifanya uhakiki 'academic audit' kwenye vyuo vyote ambavyo vimesajiliwa na baraza ili kuweza kujiridhisha kuona kwamba vina sifa na mambo mbalimbali ambayo yanahusika na utoaji wa taaluma. Katika uhakiki huo, Baraza lilibaini kuwa baadhi ya vyuo vilikidhi viwango vya ubora kwa mujibu wa taratibu za Baraza.  Hata hivyo, baadhi ya vyuo vilibainika kuwa na changamoto mbalimbali zinazoweza kuathiri ubora wa elimu na mafunzo yanayotolewa", amesema Twaha.
Pamoja na hayo, Twaha ameendelea kwa kusema "kufuatia zoezi hilo vyuo vyote vilivyobainika kuwa na mapungufu vilitaarifiwa na kutakiwa kurekebisha mapungufu yaliyobainishwa kabla ya kuendelea na udahili wa wanafunzi kwa mwaka mpya wa masomo 2018/2019".

Kwa upande mwingine, Twaha amesema kuwa udahili wa muhula wa Machi/Aprili, 2018 hauhusishi programu zote za kada ya Afya na Ualimu.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Vyuo 163 Vyafungiwa Udahili,NACTE
Vyuo 163 Vyafungiwa Udahili,NACTE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjuTrchhRmDWB3X1B_vE_pUHcg0IJJO3XdSTmbDGK59I1pOB4ecOGEwOYl1NjD3gx2ydFUx0IuDpQN_b3G-yJxysgQVqKPKLBRxQLUEOaAdj-dFV5dSfnGgq7oSwqFKR_sBeFU_uCo78r8/s640/nacte-1.png
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjuTrchhRmDWB3X1B_vE_pUHcg0IJJO3XdSTmbDGK59I1pOB4ecOGEwOYl1NjD3gx2ydFUx0IuDpQN_b3G-yJxysgQVqKPKLBRxQLUEOaAdj-dFV5dSfnGgq7oSwqFKR_sBeFU_uCo78r8/s72-c/nacte-1.png
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2018/03/vyuo-163-vyafungiwa-udahilinacte.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2018/03/vyuo-163-vyafungiwa-udahilinacte.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy