http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WA MUUNGANO WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI NCHINI UTPC WAANZA JIJINI MWANZA.

Rais wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC, Deo Nsokolo, akifungua Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Klabu za Waandishi wa Ha...


Rais wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC, Deo Nsokolo, akifungua Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC unaofanyika Jijini Mwanza kwa siku mbili, kuanzia leo Oktoba 06,2016.

Mkutano huo unajadili masuala mbalimbali ikiwemo Mpango Mkakati wa UTPC kwa mwaka 2016/20 uliofadhiriwa na Shirika la Sida.
Na BMG

Viongozi wa UTPC wakiwa kwenye mkutano huo ambapo kutoka kulia ni Mkurugenzi wa UTPC, Abubakar Karsan, Rais wa UTPC, Deo Nsokolo, Makamu wa Rais wa UTPC, Jane Mihanji na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili UTPC

Wajumbe wa bodi, UTPC, wakiwa kwenye mkutano huo

Mwenyekiti wa Mara Press Club, Mugini Jacob (kulia) akiwa na wajumbe wengine kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC

Mwenyekiti wa Mara Press Club, Mugini Jacob (kushoto) akiwa na wajumbe wengine kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC

Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC

Mweka Hazina Mara Press Club akichangia jambo kwenye mkutano huo

Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC

Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC

Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC

Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC

Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC

Mwenyekiti wa Mara Press Club, Mugini Jacob (kulia) akisalimiana na Rais wa UTPC, Deo Nsokolo (kushoto) kwenye mkutano huo

Mwenyekiti wa Mara Press Club, Mugini Jacob (kulia) akisalimiana na Makamu wa Rais wa UTPC, Jane Mihanji (kushoto) kwenye mkutano huo

Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Mkoani Shinyanga, Kadama Malunde (kulia) akisalimiana na Rais wa UTPC, Deo Nsokolo (kushoto).
*****************************************x
Waandishi wa Habari nchini wametakiwa kuusoma na kuuelewa vyema mswada sheria ya huduma ya vyombo vya habari 2016, uliowasilishwa na Serikali bungeni mjini Dodoma, kwa ajili ya kutoa maoni yao juu ya mswada huo.

Rais wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC, Deo Nsokolo, ameyasema hayo kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano huo, unaofanyika kwa siku mbili Jijini Mwanza kuanzia leo.

Nsokolo amesema tayari kamati ya bunge imekwisha kabidhiwa mswada huo kwa ajili ya kukusanya maon hivyo ni vyema waandishi wa habari ambao wanaguswa moja kwa moja na mswada huo, wakausoma kiundani na kisha kutoa maoni yao kabla ya kuwasilishwa bungeni ili kuidhinishwa.

Akiwasilisha mswada huo katika bunge lililopita, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, alisema ikiwa mswada huo utapitishwa na bunge kuwa sheria, utasaidia kuleta mageuzi makubwa ya kitaaluma kwa wanahabari pamoja na huduma za vyombo vya habari nchini.

COMMENTS


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

MAGAZETI$type=sticky$count=4


Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WA MUUNGANO WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI NCHINI UTPC WAANZA JIJINI MWANZA.
MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WA MUUNGANO WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI NCHINI UTPC WAANZA JIJINI MWANZA.
http://fullshangweblog.com/home/wp-content/uploads/2016/10/1-16.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhjioCaFSTE5gH7sECTOj4rxQm5dr5xlS7o9qViX5qRA4iu0tNIU2IHk1zKoN6ohaY43uNVAfejcMRcZYTpDUeV7FEfP9cYtliht9ZRY7X9u9hZryx5oS_cqScbLBUKDjM3QTld70LAMd8/s72-c/2.JPG
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2016/10/1-rais-wa-muungano-wa-klabu-za.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2016/10/1-rais-wa-muungano-wa-klabu-za.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy