http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Taarifa ya michango na matumizi ya rambirambi za ajali ya basi la Lucky vicent Arusha


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

TAARIFA KWA VYOMBO VYAHABARI Itakumbukwa kuwa mnamo tarehe 12/05/2017 ilitolewa taarifa ya awali kwa umma kuhusu michango ya rambiramb...

Mahakama Kuu Yaamuru Mwanafunzi wa UDOM Aliyefukuzwa Chuo kwa Kuongoza Mgomo Arudishwe Masomoni
Mkuu Brigedi ya Nyuki JWTZ afariki dunia..!
Nape awaaomba msamaha wapinzani......!


TAARIFA KWA VYOMBO VYAHABARI

Itakumbukwa kuwa mnamo tarehe 12/05/2017 ilitolewa taarifa ya awali kwa umma kuhusu michango ya rambirambi na matumizi yake, na ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Arusha kuahidikutoa taarifa kamili ya michango namatumizi yake kwa Umma kamasehemu ya mahitaji ya msingi yaUtawala bora.
Awali ya yote nachukua fursa hii kuwashukuru sana wananchi wenzangu na Mkoa wa Arusha, Taasisi za Serikali, Nashırika binafsi, Jamii ya Wafanyabiashara wakiwemo Wasafirishaji, Sekta ya Madini na Sekta ya Utalii, kwa jinsi walivyopokea na kushirikiana na Serikali yaawamu ya 5 katika kuwafariji wafivvakwenye msiba uliosababishwa na ajali ya basi la Shule ya Nsingi ya Lucky Vincent tarehe 06/ 05/ 2017 huko Rhotia WilayaniKaratu.
Msiba Huu Ulileta Simanzi Kubwa Kwa Taifa, Jamii Ya Kimataifa Na Wananchl Wote Wa Mkoa Wa Arusha, Ambapo ”Tulipotelewa Na Wanafunzi 32, Walimu 2 Na Dereva 1, Mungu Azilaze Roho Za Marehemu Mahali Pema Peponi.

Aidha; katika ajali hii kulikuwa na majerul›i 3 ambao walihudumiwa katika Hospitaliyetu ya Rufaa ya Mkoa ya NI. Meru hadi tarehe f.4/ 05/ 2017 walipoondoka kwandege ya Samaritan Purse kwenda Nchíni Marekani kwa matibabu zaidi. Pta,tumehakikishiwa kuwa majeruhi hawa na familia zao watapata matibabu burepamoja na malazi kipindi chote chamatibabu.
Hata hivyo, Baada ya kukamilika kwa Sehemu kubwa ya zoezi la kuhifadhi rnii/iya wapendwaa wetu pamoja na kuhakikisha majeruhi wamepelekwa kwa matibabu nchini Marekani mnamo tarehe 14/05/2017, tumeona siku moja baada ya kukamilisha kazi hiyo kubwa na ngumu, tutoe taarifa ya wazi kwa Umma kuhvsu michango na matumizi yake.

Hili si tukio la Kisiasa, bali ni mtíhani na changamoto kubwa uliozikumba familia zawananchi wetu. Wakati Serikali inahangaikana shida za watu, tunasikitika kuona baadhiya viongozi wa Kisiasa wanahangaika na mitandao ya kijamii. Tumedhamlria kamaSerikali ya awamu ya 5 kuonyesha Uongoziunao acha alama kwenye jambo hili zito na lakihistoria Nkoani kwetu.
Nb. Taarifa imeambatanishwa.


NrishoNashakaGamboNKUU WAMKOAARUSHA







UFAFANUZI WA JUNLA WA TAARIFA YA NICHANGO YA RAMBI IANBI KUTOKA TAASISI ZA SERIKALI NA WADAU



1.
Michango ya Serikali
Tshs.102,773,200/=

7..
Michango ya Wadau
Tshs. 158,569,540/=

JUNLA YAMICHANGO
TSHS.261,342,740/=



Katika michango hiyo matumiziyalikuwa kama ifuatavyo:-



1. I Matumizi ya Michango ya Serikali ”
Tshs.98,129,700/=

2.
Matumizi ya michangoya Wadau
Tshs.106,738,005/—

2UMLA MAYUMIZIYOTE NI
TSHS. 204,867,705/=




Fedha iliyopo hadi tarehe 15/05/2017



1. Michango yaSerikali
Tshs.4,643,500/=

2. | Michango ya waJau
Tshs.51,831,535/=

MICHANGO ILIYOENDELEAKUPOKELEWA
TSHS.56,475,035/ «













Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Taarifa ya michango na matumizi ya rambirambi za ajali ya basi la Lucky vicent Arusha
Taarifa ya michango na matumizi ya rambirambi za ajali ya basi la Lucky vicent Arusha
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhDDyOwyZe7iiZVATjLPlsEZdTPqan7h8luzmpPnc-gtSK-1akpJrRRcVNbFzswi3K8nbQzLnA_3ccnaj-gwgXZv7V7JaJAqYm8ZmjccNMhF-IL0L4CrqpVp3kRxSsed-M6QcpL_EQB-Y8/s640/380632_259561430821505_2118454823_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhDDyOwyZe7iiZVATjLPlsEZdTPqan7h8luzmpPnc-gtSK-1akpJrRRcVNbFzswi3K8nbQzLnA_3ccnaj-gwgXZv7V7JaJAqYm8ZmjccNMhF-IL0L4CrqpVp3kRxSsed-M6QcpL_EQB-Y8/s72-c/380632_259561430821505_2118454823_n.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/05/taarifa-ya-michango-na-matumizi-ya.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/05/taarifa-ya-michango-na-matumizi-ya.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy