http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Hukumu kesi ya shambulio la Al-Shabab Uganda


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Image copyright AFP Image caption Baadhi ya washtakiwa walidai kuteswa wakiwa korokoroni Mahakama mjini Kampala leo inatarajiwa kutoa hu...

Ushauri wa Zitto Kabwe Kwa Serikali Baada ya Kisa Hiki Alichokutana Nacho Hospitali Wakati Mkewe Akijufungua
Rais Magufuli afunguka kuhusu rozali iliyompa ushindi katika uchaguzi mkuu wa 2015
Penzi la Bibi wa Miaka 60 Laua Kijana wa Miaka 23


Image copyrightAFP
Image captionBaadhi ya washtakiwa walidai kuteswa wakiwa korokoroni
Mahakama mjini Kampala leo inatarajiwa kutoa hukumu katika kesi ambapo wanaume 13 wameshtakiwa kuhusiana na mashambulio ya mabomu yaliyotekelezwa na al-Shabaab mwaka 2010.
Watu zaidi ya 70 walifariki kwenye mashambulio hayo yaliyotekelezwa watu wakitazama fainali ya Kombe la Dunia la mwaka 2010.
Kesi hiyo imechukua miaka sita.
Baadhi ya washtakiwa walikuwa wameambia mahakama kwamba waliteswa na maafisa wa ujasusi wa kanda, Marekani na Uingereza.
Lakini mahakama ya kikatiba nchini Uganda ilifutilia mbali madai hayo.

Washtakiwa 13

Washukiwa ni 13 kutoka Uganda, Kenya na Tanzania. Saba ni Waganda, 5 Waenya na mmoja anatoka Tanzania.
Wao ni: Bw Habib Suleiman Njoroge, Isa Ahmed Luyima Abubaker Betamatory na Dkt Ismail Kalule.
Wengine ni Suleiman Hijar Nyamandondo, Hassan Haruna Luyima, Hussein Hassan Agade, Bw Idris Magondu, Mohamed hamid Suleiman na Yahya Suleiman Mbuthia.

Kutokea kwa shambulio

Shambulio lilifanyika 11 Julai, 2010 na vituo viwili vilishambuliwa Ethiopian Village Restaurant, Kabalagala na Kyadondo Rugby Club, Nakawa watu waliopokuwa wamekusanyika kutazama fainali ya Kombe la Dunia iliyokuwa ikichezewa Afrika Kusini.

Idadi ya wahanga

Watu 74 walifariki katika shambulio hilo na wengine 70 kujeruhiwa. Takriban watu 60 waliouawa ni wa kutoka Uganda. Wengine waliofariki dunia ni kutoka mataifa ya Ethiopia, Eritrea, India na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na mmoja kutoka Ireland na Marekani.

Kuendeshwa kwa kesi

Kesi ilianza miaka mitano baadaye baada ya kucheleweshwa na hatua ya washukiwa kupinga kupelekwa kwao nchini Uganda na kudai kuteswa na vikosi vya usalama.
Lakini Oktoba 2014 mahakama ya kikatiba ilitupilia mbali kesi yao na hivyo kesi kuanza.
Wanashtakiwa makosa ya: ugaidi, mauaji na kuwa wanachama wa kundi la kigaidi.
Jaji wa mahakama kuu aliyesikiliza kesi hiyo ni jaji Alfonso Owiny Dollo.

Mwendesha mashtaka kuuawa

Wakati mmoja muongoza mashtaka aliuawa na watu wasiojulikana waliokuwa na bunduki.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Hukumu kesi ya shambulio la Al-Shabab Uganda
Hukumu kesi ya shambulio la Al-Shabab Uganda
http://ichef-1.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2016/05/26/160526052219_kampala_people_uganda_640x360_afp.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2016/05/hukumu-kesi-ya-shambulio-la-al-shabab.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2016/05/hukumu-kesi-ya-shambulio-la-al-shabab.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy