http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Chris Brown:Nilitaka kujiua kwa sababu ya Rihanna


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Chris Brown Mwanamuziki Chris Brown amesema kuwa alitaka kujiua baada ya kumshambulia aliyekuwa mpenziwe Rihanna kabla ya tuzo za Gra...

Hii video mpya ya Wale ‘My PYT’ Itazame hapa.
Nay wa Mitego kuwashitaki BASATA?,hiki ndicho alichosema baada ya wimbo wake ‘Pale kati’ kufungiwa.
Kala Jeremiah adai radio nyingi zinabania kupiga nyimbo zenye ujumbe ndio maana wasanii wanaimba bata zaidi.
Mwanamuziki Chris Brown amesema kuwa alitaka kujiua baada ya kumshambulia aliyekuwa mpenziwe Rihanna kabla ya tuzo za Grammy mwaka 2009.

Katika kipande kifupi cha makala yake ya 'Karibu katika maisha yangu',mwanamuziki huyo wa mtindo wa R & B amesema kuwa uhusiano wao ulikuwa kama ndoto lakini akajihisi kama hayawani.

''Nilikuwa katika kilele cha dunia,nyimbo zangu zikiongoza,nikapendwa na wengi nchini Marekani kabla ya kuanguka hadi kuwa adui wa uma'',alisema.
Chris Brown na Rihanna
Brown alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kufuata shambulio hilo.
Kifungo hicho kilisitishwa mwaka jana baada ya jaji moja kusema kuwa nyota huyo amekamilisha mahitaji yake yote na kufunga kesi hiyo rasmi.
Rihana
Makala hiyo inayowaonyesha Jennifer Lopez,Usher,Mike Tyson,Jamie Fox na Rita Ora,Chris Brown anasema kuwa ''Nilihisi kama nyota ,lakini nilijiharibia''.
''Nilikuwa nikilala.Sikuweza kula,nilijihisi maarufu'',alikiri.


Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Chris Brown:Nilitaka kujiua kwa sababu ya Rihanna
Chris Brown:Nilitaka kujiua kwa sababu ya Rihanna
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjGdoWouvqkfS1tTIw1e-o5-HHN0Erjjm53X9JWmgl_lJb_KDia7Kx790O1cScNpsepimW4SvoCYbgz2T30Ldc4Hwoi5_XWQCTfmyYBX6vX4C0J1JI7xszIv3n5_iimoAT7Y2pOGjMVgNp2/s1600/150927103954_chris_brown_reuters_640x360_reuters_nocredit.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjGdoWouvqkfS1tTIw1e-o5-HHN0Erjjm53X9JWmgl_lJb_KDia7Kx790O1cScNpsepimW4SvoCYbgz2T30Ldc4Hwoi5_XWQCTfmyYBX6vX4C0J1JI7xszIv3n5_iimoAT7Y2pOGjMVgNp2/s72-c/150927103954_chris_brown_reuters_640x360_reuters_nocredit.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2016/04/chris-brownnilitaka-kujiua-kwa-sababu.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2016/04/chris-brownnilitaka-kujiua-kwa-sababu.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy