http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Fundi Cherehani Afariki Ghafla Akiwa amekaa kwenye kochi Akipika Nyama


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Mwanamke aliyetambuliwa kwa jina La Grace Anaely Mmari anayekadiliwa kuwa na umri wamiaka 40 amekutwa amekufa ndani ya chumbachake akiwa ame...

Rais Magufuli aibua ufisadi mwingine wa mabilioni ya shilingi ndani ya Jeshi la Polisi
Ugonjwa wa ukimwi wajadiliwa
Mweusi awaua Polisi 3 Marekani


Mwanamke aliyetambuliwa kwa jina La Grace Anaely Mmari anayekadiliwa kuwa na umri wamiaka 40 amekutwa amekufa ndani ya chumbachake akiwa amekaa kwenye kochi

Marehemu ambaye alikuwa akiishi peke yakekatika chumba alichokuwa amepanga katika Mtaa wa Tindigani ,kata ya Ungalimited jijini Arusha, mwili wake umekutwa ukiwa umeharibika kiasi cha kutoa harufu Kali

Mmoja ya jirani na marehemu huyo aitwaye ,Jakob Asenga amesema kabla ya mwili huokugundulika alisikia harufu Kali mithiri ya panya aliyefia ndani na alipoanza kufuatiliaaligundua harufu hiyo pamoja na Nzi ikitokeandani ya chumba hicho.

"Nilitoa taarifa kwa watu mbalimbali akiwemobalozi ambapo walifika na kuamua kuvunjamlango na kukuta mwili wa marehemu aliyekuwa amevalia suruwale ya Jinsi na blausinyeupe akiwa amekaa kwenye kochi huku pembeni yake kukiwa na jiko la mafuta na sufurialenye Nyama alilokuwa akipika "AnasemaAsenga

Aliongeza kuwa marehemu Mara nyingiamekuwa akiingia ndani ya chumba chake nakujifungia ndani na alikuwa hana ushirikianona mtu yoyote na Mara nyingi alikuwahazungumzi na jirani yoyote hata pale anaposemeshwa hujibu kwa ishara ya kichwa.

Mwenyekiti wa mtaa wa Tindiga Maria Kibonge ameeleza kuwa marehemu alipatataarifa juu ya tukio hilo leo Mei 27,majira ya saa 11.30 jioni na kwenda kushuhudia,ambapo alimkuta marehemu akiwa amekufa hukuakiwa amekaa kwenye kochi ambapo alitoataarifa kituo cha Polisi ambapo polisi walifikana kuuchukua mwili wake marehemu.

Naye kijana aitwaye John Mmari aliyejitambulisha kama Mdogo wa marehemu amethibitisha kuwa marehemu ni ndugu yake na kabla ya tukio hilo alikuwa akisumbuliwa na ugonjwawa kifua.

Hata hivyo bado haijafahamika chanzo cha mauti hayo na lini mauti yalimfika marehemuHuyo ,mwili wake umehifadhiwa katikachumba cha maiti katika hospital ya Mkoa Mount Meru.



By Ngilisho

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Fundi Cherehani Afariki Ghafla Akiwa amekaa kwenye kochi Akipika Nyama
Fundi Cherehani Afariki Ghafla Akiwa amekaa kwenye kochi Akipika Nyama
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh2YJ8YHbs9dKOsJWLgLksIEpnKrRUOxH7UPvwyNGhYPbIo6M_IBr6BXgAFS4wXAE03OB6I0wdlyaAyaFEC9A88H8TYsbdZC4Op7urnhS_7_pxhk2aL3I-rVyZNxeqkPYdBpwpMOneLjWe_/s640/IMG_20180527_193346_729.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh2YJ8YHbs9dKOsJWLgLksIEpnKrRUOxH7UPvwyNGhYPbIo6M_IBr6BXgAFS4wXAE03OB6I0wdlyaAyaFEC9A88H8TYsbdZC4Op7urnhS_7_pxhk2aL3I-rVyZNxeqkPYdBpwpMOneLjWe_/s72-c/IMG_20180527_193346_729.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2018/05/fundi-cherehani-afariki-ghafla-akiwa.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2018/05/fundi-cherehani-afariki-ghafla-akiwa.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy