http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Majambazi wavamia ofisi za DRFA na kutaka shilingi milioni 150


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia kwenye ofisi za Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) na kuwapora baadhi ya wafanyaka...

MKUU WA MKOA WA MWANZA AKABIDHI VYAKULA KWA NIABA YA RAIS MAGUFULI KWENYE KITUO CHA WAZEE BUKUMBI KWA AJILI YA IDD EL HAJJ.
PICHA ZA MATUKIO YANAYOENDELEA KWENYE SEMINA YA MAISHA YA THAMANI NDANI YA AJTC.....,,,,
HOSPITALI YAKABILIWA NA UHABA WA VYUMBA VYA KUHUDUMIA WAGONJWA
Watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia kwenye ofisi za Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) na kuwapora baadhi ya wafanyakazi akiwemo katibu mkuu wa chama hicho, Kanuti Daudi.

Watu hao walivamia ofisi za DRFA leo asubuhi na kufanya uboraji huo huku wakiagiza kupewa Sh milioni 150 zilizokuwa ndani ya ofisi za DRFA.

Katibu huyo amesema, kabla ya kufika, wenzake walionyeshwa silaha kama alivyoelezwa lakini yeye hakuiona.

"Wenzangu wanasema awali walionyesha silaha, mimi sikuiona baada ya kufika ila niliona mmoja akiwa na pingu."

Kanuti amesema baada ya kufika walimtaka kuingia kupanda juu, huko alikuta wafanyakazi wenzake wakiwa wamefungwa.
“Kufika juu nikawakuta wenzangu wakiwa wamefungwa. Nikajumuishwa na kutakiwa kutoa fedha Sh milioni 150 jambo ambalo lilinishangaza, nikawaambia ntazitoa wapi.

“Wakaanza kunisachi na kuchukua ufunguo uliokuwa mfukoni mwangu pamoja na fedha kama Sh lakini mbili hivi. Tayari walikuwa wamewapokonya fedha baadhi ya wafanyakazi wenzangu,” alisema.

“Baada ya kuona hatuna kitu walichokuwa wanakitaka, walifanya uporaji huo wa fedha kwetu pamoja na vifaa kama laptop halafu wakaondoka zao.
“Wana usalama walikuja baadaye sana, maana jamaa walikuwa wameishaondoka na wasamalia wema walikuwa tayari wametufungua.”

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Majambazi wavamia ofisi za DRFA na kutaka shilingi milioni 150
Majambazi wavamia ofisi za DRFA na kutaka shilingi milioni 150
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjLt6hdUjI3Odno4p7pQe6BkjuSZMy_MEai_YYx3Gj8BL0PJzzJbUXgoaLIxjfiVFaMG1qhhNRiVpWFErrxMXxCMJlOjaJAPCDdtPFaFfnBqzco5S1veOnAtaUKHy959BShyOBf5QjzKHra/s640/kanuti.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjLt6hdUjI3Odno4p7pQe6BkjuSZMy_MEai_YYx3Gj8BL0PJzzJbUXgoaLIxjfiVFaMG1qhhNRiVpWFErrxMXxCMJlOjaJAPCDdtPFaFfnBqzco5S1veOnAtaUKHy959BShyOBf5QjzKHra/s72-c/kanuti.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/08/majambazi-wavamia-ofisi-za-drfa-na.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/08/majambazi-wavamia-ofisi-za-drfa-na.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy