http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Fid Q Ampinga Waziri Mwakyembe


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Msanii Fareed Kubanda ambaye wengi humuita 'Fid Q', amejibu kauli ya Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe a...

Masoud Kipanya Arejea Clouds FM Ataanza Kusikia Jumatano hii
Chris Brown:Nilitaka kujiua kwa sababu ya Rihanna
PAKUA NGOMA KALI UBURUDIKE NA UELIMIKE KUTOKA KWA OLLACHUGA FROM OLDADA

Msanii Fareed Kubanda ambaye wengi humuita 'Fid Q', amejibu kauli ya Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe aliyosema wasanii wasiimbe siasa, na kusema kuwa siyo rahisi kwa wasanii kuacha kitu kitu hicho.

Fid Q amesema Waziri hakuwa sahihi kusema hivyo, kwani siasa ipo kwenye maisha yetu ya kila siku, ambayo wasanii ndiyo kitu ambacho hutazama ili kuweza kufanya kazi zao.

"Nafikiri suala la Waziri wa Habari kusema wasanii wasiimbe siasa halikuwa sahihi, nafikiri labda alitaka kusema wasanii wasiwaimbe wanasiasa, kwa sababu siasa ni sehemu ya maisha yetu, na tunaguswa nayo kwa namna moja au nyingine, tunataka au hatutaki, na sanaa ni kitu ambacho hakina mipaka ili mradi hujavuka mstari, na kazi ya msanii ni kuelimisha jamii si tu kuburudisha", alisema Fid Q.

Fid Q aliendelea kusema kuwa hata mafanikio ambayo Mh. Waziri aliyazungumzia, anatakiwa atambue kuwa msanii kufanikiwa sio kuwa na mali tu, hata kubadilisha jamii kupitia sanaa yake ni mafanikio makubwa.

"Bob Marley aliimba siasa mpaka leo tunatambua legacy yake inaendelea kuishi, Fela Kuti pia, alafu mafanikio ya msanii siyo lazima masuala ya pesa, magari sijui majumba, mafanikio kwa msanii ni namna sanaa yake inaweza kubadilisha jamii, na kuamini kwamba pesa, magari na nyumba za kifahari ndiyo vitu vya mafanikio, si nadharia nzuri na yenye busara kwenye jamii", alisema Fid Q.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Fid Q Ampinga Waziri Mwakyembe
Fid Q Ampinga Waziri Mwakyembe
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjSrXk6f-bZeC_FjTqa2JxqLhrqAuoK_7_mSoYWTsmOXdxklKLHn_MycBIoRfftq8Ff0mXjRVSw-A5vS_eX94Bd58J_cS4t9yi-4aI3FVMYx08orTNp3e4HhMmw_Pdp39gvxH480S8UQxo6/s640/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjSrXk6f-bZeC_FjTqa2JxqLhrqAuoK_7_mSoYWTsmOXdxklKLHn_MycBIoRfftq8Ff0mXjRVSw-A5vS_eX94Bd58J_cS4t9yi-4aI3FVMYx08orTNp3e4HhMmw_Pdp39gvxH480S8UQxo6/s72-c/1.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/08/fid-q-ampinga-waziri-mwakyembe.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/08/fid-q-ampinga-waziri-mwakyembe.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy