http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Ali Kiba Avutwa Sehemu Nyeti Na Mzungu Laivu


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’. Mwanamuziki anayefanya poa kuliko wasanii wote wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ a...

Majonzi Ben Pol hapokei simu zangu - Ebitoke (Full Interview)
Wema, Huddah Waingilia Ugomvi wa Zari, Hamisa
TAZAMA ALICHOKIPOST DIAMOND INSTAGRAM BAADA YA KUMKUBALI MTOTO WAKE KWA HAMISA



Staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’.

Mwanamuziki anayefanya poa kuliko wasanii wote wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ amekuwa habari kufuatia Mzungu mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja kumvuta sehemu zake nyeti alipokuwa kwenye shoo pande za Marekani.

Kiba ambaye amekuwa akifanya shoo kibao ndani na nje ya Bongo, alikutana na kimbwanga hicho, mwishoni mwa wiki iliyopita alipokwenda kupafomu katika tamasha lililofahamika kwa jina la One Africa Music Festival.

Kwa mujibu wa chanzo makini, Kiba alikutana na kisanga hicho mara baada ya kukamua ngoma zake kali zikiwemo Chekecha Cheketua na Mwana na alipokuwa anashuka, Mzungu huyo akamvaa na kumshika sehemu nyeti.


“Yule Mzungu nafikiri alikuwa amezidisha ‘mambo’ sasa Kiba wakati anashuka tu, akamdandia na kumshika maeneo nyeti. Ila uzuri ni kwamba mabaunsa waliwahi na kumtoa,” kilidai chanzo.

Chanzo hicho kilieleza kuwa, Kiba hakukasirishwa na kitendo hicho kwani alielewa kabisa Mzungu huyo ameguswa sana na muziki wake kwani hata alipokuwa anamfuata, alionekana kuimba Wimbo wa Aje kabla ya kumkumbatia na kumshika sehemu hizo nyeti.


“Kiba alibaki anacheka tu. Alienda zake moja kwa moja kupumzika katika hoteli aliyofikia na kuacha huko nyuma watu wakiendelea kumjadili Mzungu huyo,” kilizidi kueleza chanzo.

Ijumaa lilimvutia waya Kiba lakini ili kumsikia anazungumziaje tukio hilo lakini simu yake haikuwa hewani.

Hata hivyo, Ijumaa lilifanikiwa kuzungumza na mmoja wa mameneja wa msanii huyo ambaye alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kudai lilikuwa la kawaida hivyo kwa kuwa si la kikazi, asingependa atambulishwe kwa jina.


“Si unajua tena mashabiki huwa wanakunywa vitu vikali sasa yule dada wa Kizungu inaonekana alivutiwa sana na nyimbo za Kiba ila alipomkumbatia ndio yakatokea hayo.

“Ilikuwa ni ndani ya sekunde kadhaa tu lakini mabaunsa walimtoa fasta yule dada na Kiba alibaki anacheka tu ila hiyo nimekupa tu usinitaje maana si suala la kikazi,” alisema meneja huyo.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Ali Kiba Avutwa Sehemu Nyeti Na Mzungu Laivu
Ali Kiba Avutwa Sehemu Nyeti Na Mzungu Laivu
https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2017/07/ali-kiba.png
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/08/ali-kiba-avutwa-sehemu-nyeti-na-mzungu.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/08/ali-kiba-avutwa-sehemu-nyeti-na-mzungu.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy