http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Mkuu wa Mkoa Mrisho Gambo kutoa ushahidi kesi ya Lema na mkewe


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Mrisho Gambo Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo pamoja na mashahidi wenzake wanne wanatarajia kutoa ushahidi k...

Mwanafunzi wa Kike aweka Rekodi Arusha, kuiwakilisha Tanzania nchini Malawi Mafunzo ya Sayansi.
Tundu Lissu agoma Kupimwa mkojo
JPM: Sitoi Chakula cha Msaada Ng’o, Asiyefanya Kazi Asile, Asiyekula Afe!


Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo pamoja na mashahidi wenzake wanne wanatarajia kutoa ushahidi katika kesi inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema pamoja na na Mkewe Neema Lema, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, Februari 3, 2017

 

Kwa mujibu wa Wakili wa Serikali Alice Mtenga amesema licha ya Gambo pamoja na wenzake wanne kutoa ushahidi wao Februari 3 mwaka huu, pia mashahidi hao watakuwa na vielelezo vitatu vitakavyotolewa mahakamani hapo.

Mtenga amesema hayo mbele ya Hakimu, Nestory Barro wakati akiwasomea maelezo ya awali washtakiwa hao ambao ni mume na mke.

Amesema mashahidi watano watatoa ushahidi wao ambao ni Mkuu wa Mkoa Arusha Mrisho Gambo , Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha(RCO) ,George Katabazi, (ASP) Damasi Massawe, mhusika kutoka kampuni ya simu ya Vodacom pamoja na mtaalam wa picha.
Godbless Lema (Kushoto) na Mkewe Neema


Pia amevitaja vielelezo watakavyovitoa katika kesi hiyo kuwa ni nakala ya taarifa za mawasiliano ya simu kutoka kampuni ya Vodacom, Simu ya mshitakiwa ambaye ni ya mke wa Lema ,Neema Lema pamoja na taarifa ya uchunguzi kutoka kitengo kinachoshughulikia masuala ya kiuchunguzi (Forensic Bureau).
 

Baada ya kuwasomea maelezo hayo ya awali, washtakiwa hao kwa pamoja walikiri kuwa ni wakazi wa Arusha na Lema ni Mbunge wa Arusha Mjini ila walikataa kusambaza ujumbe huo wa kumtukana Gambo wala tarehe ya kukamatwa kwao.

Naye Hakimu Barro ameahirisha kesi hiyo hadi Februari 3 mwaka huu, ambapo Gambo atafika mahakamani hapo kutoa ushahidi wake ili kuithbitishia mahakama jinsi aliyojisikia vibaya, baada ya kutukanwa na Lema pamoja na Mke wake Neema.

Creadity.......East Africa Televition

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Mkuu wa Mkoa Mrisho Gambo kutoa ushahidi kesi ya Lema na mkewe
Mkuu wa Mkoa Mrisho Gambo kutoa ushahidi kesi ya Lema na mkewe
http://www.eatv.tv/sites/default/files/inline/images/Gambo_0.JPG
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/01/mkuu-wa-mkoa-mrisho-gambo-kutoa.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/01/mkuu-wa-mkoa-mrisho-gambo-kutoa.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy