http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

VYUMBA SITA VYATEKETEA KWA MOTO KATA YA MURIETY JIJINI ARUSHA NA KUSABABISHA HASARA YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 80


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Wananchi wakiwa katika jengo kujionea jinsi moto ulivyoteketeza nyumba ya mwenyekiti milango unayoona ndiyo vyumba 6 vya biasghara vilivyot...

Linah afunguka idadi ya wanaume aliotembea nao
BASATA&TCRA YATOA ORODHA YA NYIMBO ZISIZOTAKIWA KUSIKIKA RADIONI KUTOKANA NA MAADILI.
MCHUNGAJI AMTOROKA MKEWE, AENDA KUOA ‘KIFAA’





Wananchi wakiwa katika jengo kujionea jinsi moto ulivyoteketeza nyumba ya mwenyekiti milango unayoona ndiyo vyumba 6 vya biasghara vilivyoteketea kabisa bila kusalia chochote



Baadhi ya wananchi wakiangalia jinsi nyumba ilivyoteketea




Moja ya Nyumba ya mwenyekiti wa mtaa wa olkungu kata ya murieti iliyoungua moto




Bi veronica Julias Ambaye nyumba yake imeteketea kwa moto




Mwenyekiti wa mtaa wa olkungui kata ya Muriety Bw Julius Lenina ambaye pia ni mmiliki wa jengo lililoteketea kwa moto akiwa katika hali ya majonzi akiwa na majirani waliomtembelea kumfariji







Mbao zilizokolewa kwenye moto ambao umeteketeza vyumba sita vya biashara jijini arusha






Numbani kwa mwenyekiti wa mtaa wa olkungu akiwa na majirani waliofika kumfariji baada ya tukio la moto


Vyumba 6 vya biashara vimeteketea kwa moto katika mtaa wa olkung"u kata ya Terati jijini arusha na kusababisha hasara ya zaidi ya shilingi milioni 80 ambayo ni Mali ya mwenyekiti wa mtaa huo bwana Julius lenina.

Akizungumzia chanzo cha moto huo Mwenyekiti huyo ambaye ndiye mmiliki wa nyumba hiyo amesema kuwa chanzo cha moto huo ni majani ambayo yalikuwa karibu na chumba cha kulala watoto na hakuna mtu ambaye amepata madhara kutoka na moto huo ambao umeteketez kila kitu katika jengo hilo.

Ameongeza kuwa moto huo ulianza majira ya saa nane usiku wakati wakiwa wamelaa na umeteketeza mali zenye dhamani ya zaidi ya sh.ml 80 ambayo ni maduka na vitu vilivyokuwa ndani ya nyumba hiyo ambayo ilikuwa imepangishwa na wapangaji kwa ajili ya biashara.

Amesema kuwa walishindwa kuzima moto kutokana na nguvu ya moto huo kwa kuwa wamewaokoa Watoto japokuwa gari la zomamoto lilichelewa kufika kutokana na kupotea njia.

Ameeleza kuwa siku za nyuma kabla ya tukio hilo alipata maneno ya vitisho kutoka kwa mfanyakazi wake kwamba atamfanyia kitu kibaya na kumsambaratisha ndipo baada ya siku kadhaa moto ukawaka katika nyumba yake


Upande wa Diwani wa kata hiyo ya Terati bwana mosses obedi mengoriki amekemea vikali kitendo hicho cha moto na kuitaka serikali kufuatilia na kubaini mtu aliyekusika na ukatili huo

Akizungumza mama Mwenye nyumba hiyo iliyoteketea Bi veronica Julius ameshukuru kunusurika kwa Watoto wake wawili ambao walikuwa wamelala kwenye chumba ambacho nacho kilishika moto.


Tukio hilo siyo la kwanza kutokea katika jiji la arusha ikumbukwe kuwa tukio kama hili liliwahi kutokea katika kata ya lemara jijini arusha jambo ambalo linatia wasiwasi kwa baadhi ya wananchi

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : VYUMBA SITA VYATEKETEA KWA MOTO KATA YA MURIETY JIJINI ARUSHA NA KUSABABISHA HASARA YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 80
VYUMBA SITA VYATEKETEA KWA MOTO KATA YA MURIETY JIJINI ARUSHA NA KUSABABISHA HASARA YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 80
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhAMDF_ZqazoWUvmBV8PR8M_h0GkCRpaaG-aJyx_uhY7X7IG0cQ6i4-XijO83UATLnwl5WS9fCBXTL9iAiyGj4uuNGjDU7AUpb7PHHwUygJpRIpKuRPS9TheNYthKyVgf5RWz4oFQg4cfI/s640/IMG_20161006_105703.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhAMDF_ZqazoWUvmBV8PR8M_h0GkCRpaaG-aJyx_uhY7X7IG0cQ6i4-XijO83UATLnwl5WS9fCBXTL9iAiyGj4uuNGjDU7AUpb7PHHwUygJpRIpKuRPS9TheNYthKyVgf5RWz4oFQg4cfI/s72-c/IMG_20161006_105703.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2016/10/vyumba-sita-vyateketea-kwa-moto-kata-ya.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2016/10/vyumba-sita-vyateketea-kwa-moto-kata-ya.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy