http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Diwani wa CHADEMA Temeke afukuzwa uanachama kwa tuhuma za rushwa


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

September 19, 2016 Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA jimbo la Temeke kimemfukuza uanachama Diwani na Mwenyekiti wake kutoka kata ya ...

Mama Samia awataka wananchi wamuunge mkono JPM
Mvua yaleta maafa kwa Jeshi la Polisi
Jeshi la Polisi Manyara linamshikilia Mbunge Mary Nagu kwa amri ya Mkuu wa Wilaya

September 19, 2016 Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA jimbo la Temeke kimemfukuza uanachama Diwani na Mwenyekiti wake kutoka kata ya Kurasini, Matiti Claudian Togocho kutokana na kashfa ya ufisadi wa zaidi ya shilingi milioni 400 alizozipata kwa njia ya udanganyifu.


Taarifa iliyotolewa na Benard Mwakyembe ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Temeke imeeleza kuwa mnamo November 23 2015, Diwani huyo akiwa na wenzake wanadaiwa walitengeneza hati feki ya nyumba tano za James Makundi aliyekuwa mpangaji kwenye nyumba zake kisha kufanya hujuma ya kuvunja nyumba hizo kwa amri ya uongo ilitolewa na wakili kishoka wa Samora Avenue badala ya amri ya mahakama ikiwa ni kwa lengo la kujipatia pesa kutoka kwa mwekezaji ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 200.


Diwani huyu pia anahusishwa na matukio mengine mawili ya udhulumaji wa zaidi ya shilingi milioni 140 za mirathi ya marehemu Peter Christian Kijeni wakati kesi ikiwa mahakamani pamoja na fedha za fidia za Paulina Shaban na wajukuu zake ambao Diwani huyo alisimamia nyumba zao kubomolewa.


"Kutokana na maamuzi ya chama baada ya kujiridhisha na makosa yake na kwa mujibu wa katiba ya chama chetu, mamlaka za mwisho zimefikia maamuzi ya kumvua uanachama wake hivyo atakuwa amepoteza sifa za kuwa Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Mivinjeni pamoja na nafasi yake ya Udiwani kata ya Kurasini." Alisema Benard Mwakyembe

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Diwani wa CHADEMA Temeke afukuzwa uanachama kwa tuhuma za rushwa
Diwani wa CHADEMA Temeke afukuzwa uanachama kwa tuhuma za rushwa
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhtCu1Tlj7Vv-IBhK9a4ukBcNCd_YtPcKkKVm4Gyc_sN-byA3b0UZJLWEDnHOjjwMUtA_ExfswDaU8znXifsTP5t5ZuUsC4nocI7RH8WmzdaoquMwG7LRAfLHzVbWxueSRci0dg5hlBXUs/s640/1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhtCu1Tlj7Vv-IBhK9a4ukBcNCd_YtPcKkKVm4Gyc_sN-byA3b0UZJLWEDnHOjjwMUtA_ExfswDaU8znXifsTP5t5ZuUsC4nocI7RH8WmzdaoquMwG7LRAfLHzVbWxueSRci0dg5hlBXUs/s72-c/1.JPG
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2016/09/diwani-wa-chadema-temeke-afukuzwa.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2016/09/diwani-wa-chadema-temeke-afukuzwa.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy