http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Idris Sultan na Wema Sepetu wazinguana tena


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Idris Sultan na Wema Sepetu wamezinguana kwa mara nyingine tena. Kisa na mkasa n i Wema kuisusia show ya Idris, Funny Fellas kwa ma...

JAY-Z athibitisha mamake ni mpenzi wa jinsia moja
TID, Quick Rocka na OMG wamalizana
Umesikia alichokisema Wema Sepetu kuhusu shepu yake?
Idris Sultan na Wema Sepetu wamezinguana kwa mara nyingine tena.

Kisa na mkasa ni Wema kuisusia show ya Idris, Funny Fellas kwa mara nyingine tena huku mshindi huyo wa Big Brother akihudhuria za mpenziwe, ikiwemo Black and Tie iliyofanyika mwezi uliopita.

Baada ya kuchoshwa na tabia ya mpenzi wake kutompa support kwenye show zake, Idris naye aliamua kuipotezea show ya Usiku wa Vigoma iliyoandaliwa na Sepetunga mwishoni mwa wiki – na hapo ndipo mambo yalipoharibika. 

Mashabiki wa Wema wamekasirika baada ya shemeji yao kuikwepa show hiyo na wanamshambulia Instagram.

 Kutokana na kuandamwa, Idris amelazimika kuongea:

"Sipendi kuona watu wakiingia na kuongea kama wanajua maisha yangu na watu wangu wa karibu, makosa wakifanya wengine mnakuja kwangu mnaanza “Ndio asingefanya vile kama sio wewe kufanya hivi” mnakazana kusema eti naposti wanawake mara ooo porojo kibao. Sina freedom ya kumpost dada angu ? Kweli ? Au rafiki yangu kazindua brand mpya siwezi mpost nikampongeza?

"Mnauliza kwanini sijaenda vigoma nimesema because show yangu hakuja hata moja na nimeenda show zake zote na yeye halalamiki because anajua nimesema siendi fair enough mbona hamjaongelea hilo? I repeat nikikaa kimya is for a pure reason that it’s not anyones business this is my personal life kama mnaongeleaga fair basi mngefanya kuuliza kwanini mpaka am selling out hajaja.

“Give me a break sina maisha ya kuigiza lets have respect for each other bana. Na nimesema msiniite shemeji for one big good reason, imekua too much i am a brand na jina idris linamezwa na shem, ningejua this from the beginning nisingeruhusu mniite tangu mwanzo so msiwe kila kitu mnafikiria negative tu. Na sikuwa na haja ya kuandika yote haya pia TusichukulianePoa."

Hata hivyo Wema naye alimpigilia msumari wa moto Idris kwa kupost picha ya wanaume anaowapenda #MCM (Man Crush Monday) na mmoja wao ni Diamond.
Wengine ni Alikiba, Korede Bello, Jamal wa Empire, Cyrill, Trey Songz, Van Vicker na wengine.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Idris Sultan na Wema Sepetu wazinguana tena
Idris Sultan na Wema Sepetu wazinguana tena
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiOw-pbMkQ1UBoT6l71a7qU4S6tuH-hoPzSoHpQhIx027k-oIsQLNUf69gPuiJrdIJT5d6FY335wzUr3rcJB39BpbDMAwUYDzxR-KHTPZGIHZNml4rn68Cif5YFIJUb3ixltOkVS3EcpW8/s640/1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiOw-pbMkQ1UBoT6l71a7qU4S6tuH-hoPzSoHpQhIx027k-oIsQLNUf69gPuiJrdIJT5d6FY335wzUr3rcJB39BpbDMAwUYDzxR-KHTPZGIHZNml4rn68Cif5YFIJUb3ixltOkVS3EcpW8/s72-c/1.JPG
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2016/08/idris-sultan-na-wema-sepetu-wazinguana.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2016/08/idris-sultan-na-wema-sepetu-wazinguana.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy