http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Waziri Muhongo : Serikali Ya Uganda Kujenga Kiwanda Cha Kuchakata Mafuta Ghafi Na Kuwa Safi


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amesema Serikali ya Uganda itajenga Kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi na kuwa masa...

Familia yaanika utabiri juu ya Babu Seya, Papii
RC Gambo azindua ujenzi wa hospitali ya wilaya Arusha
ASKOFU MKUU WA KANISA LA EAGT ATUMBULIWA...MHASIBU MKUU NAYE APITIWA

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amesema Serikali ya Uganda itajenga Kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi na kuwa masafi (refinery)katika eneo la Kabaale katika wilaya ya Hoima nchini humo.

 Profesa Muhongo amesema hayo baada ya kutembelea eneo hilo nchini Uganda wakati wa vikao vya kujadili michakato ya ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Kabaale - Hoima nchini humo hadi katika bandari ya Tanga nchini Tanzania.

Vilevile amesema kuwa Serikali ya Uganda imetoa jumla ya 40% ya hisa za (refinery) hiyo kwa Serikali 5 za Afrika Mashariki kabla ya Sudani kusini kujiunga.

Katika hisa hizo Tanzania imekaribishwa na kutengewa 8% za kununua hisa hizo zenye thamani ya US$150.4 Millioni. Aidha Prof. Muhongo ameishauri Serikali na Sekta Binafsi kushirikiana kununua hisa hizo.

Katika hatua nyingine ujumbe wa Tanzania na ule wa Uganda juu ya ujenzi wa bomba la mafuta umetembelea eneo la ziwa Albert na kujionea visima vilivyochorongwa tayari kwa uzalishaji wa mafuta ghafi (crude oil).

Ambapo inakadiriwa kuwepo kwa mapipa bilioni 6.5 ya akiba (reserve) na yanoyoweza kuchimbwa ni mapipa bilioni 2 (recoverable). 

Ujenzi wa Bomba la mafuta kutoka Kabaale Uganda hadi Tanga (The East African Crude Oil Pipeline ) utagharim dola za Marekani Bilioni 3.55 na litakuwa na urefu wa kilometa 1,443, na litakuwa na uwezo wa kusafirisha mapipa 200,000 kwa siku.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Waziri Muhongo : Serikali Ya Uganda Kujenga Kiwanda Cha Kuchakata Mafuta Ghafi Na Kuwa Safi
Waziri Muhongo : Serikali Ya Uganda Kujenga Kiwanda Cha Kuchakata Mafuta Ghafi Na Kuwa Safi
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgxHj5AL6qZhrBuX1JE-g7qtY5HClxC2DubrthE1Qo0lbmNrUj42PMyZpD9ECkkgSzeMbVNfiHiLII5o4MNgwvLIqSUvjXF9GKomzF4N_4REr85X7dodgKzC-NMi4eNJhmz9XJB5N3tBDE/s1600/2.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgxHj5AL6qZhrBuX1JE-g7qtY5HClxC2DubrthE1Qo0lbmNrUj42PMyZpD9ECkkgSzeMbVNfiHiLII5o4MNgwvLIqSUvjXF9GKomzF4N_4REr85X7dodgKzC-NMi4eNJhmz9XJB5N3tBDE/s72-c/2.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2016/07/waziri-muhongo-serikali-ya-uganda.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2016/07/waziri-muhongo-serikali-ya-uganda.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy