http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

ASKOFU MKUU WA KANISA LA EAGT ATUMBULIWA...MHASIBU MKUU NAYE APITIWA


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Evangelistic Assemblies Of God Tanzania (EAGT) imemsimamisha Askofu Mkuu wa kanisa hilo, Mchungaji Br...

Trump: Kura zinaibiwa vituoni Marekani
Watu 50 wauawa kwenye mapigano Malakal, Sudan Kusini
WAFANYAKAZI NEW HABARI CORPORATION HATARINI KUWA VIZIWI
Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Evangelistic Assemblies Of God Tanzania (EAGT) imemsimamisha Askofu Mkuu wa kanisa hilo, Mchungaji Brown Mwakipesile ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili.
Wengine waliosimamishwa leo Desemba 18 ni Katibu Mkuu, Mchungaji Leonard Mwizarubi na Mhasibu Mkuu, Mchungaji PrayGod Mngonja.
Pamoja na mabadiliko hayo, bodi imewateua kwa muda kushika nafasi hizo, Askofu Mkuu atakuwa ni Mchungaji Asumwisye Mwaisabila, Katibu Mkuu atakuwa Dk Jakob Madaha na Mhasibu Mkuu atakuwa Andrea Salu.
Kwa mujibu wa Katiba ya EAGT ya Mwaka 2011 ,ibara ya 6(b)(5) kinatoa mamlaka Kwa Wajumbe wanne wa bodi hiyo kusimamisha viongozi wakuu wa kanisa akiwamo Askofu Mkuu kabla ya Mkutano Mkuu kujadili maazimio hayo.
"Baada ya siku 30 kuanzia leo  tutakuwa na mkutano mkuu wa Kanisa kwa ajili ya kupitisha mabadiliko hayo, wamesimamishwa kwa kumfukuza Makamu Askofu Mkuu wakidai alitenda dhambi, walimfukuza uchungaji na uumini pia," ni kauli ya Mwenyekiti wa bodi hiyo, John Mfuko alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Mzee Mfuko ambaye anazungumza kwa taabu kutokana na umri wake alisema kosa la viongozi hao wa kanisa ni kumfukuza bila kushirikisha bodi ya Wadhamini.
Mzee Mfuko aliyeongozana na wajumbe wawili kati ya wanne wa bodi hiyo alisema licha ya mahakama kubatilisha suala la kumfukuza, Askofu Mkuu (aliyefukuzwa) alikataa kumrejesha kanisani. Tuhuma nyingine ni kushiriki njama za kuhujumu mali za kanisa.
Baada ya kutafutwa kwa simu yake ya mkononi, Askofu aliyesimamishwa Mwakipesile hakupatikana kwenye simu yake ya mkononi.
Mbali na tuhuma hizo, bodi imewataka waumini wa kanisa hilo kutotuma pesa katika akaunti za kanisa huku ikiweka wazi kushikilia akaunti hizo kutoka mikononi mwa viongozi waliokuwa na dhamana ili kuhakiki wa mali za kanisa.
Na Kelvin Matandiko Mwananchi

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : ASKOFU MKUU WA KANISA LA EAGT ATUMBULIWA...MHASIBU MKUU NAYE APITIWA
ASKOFU MKUU WA KANISA LA EAGT ATUMBULIWA...MHASIBU MKUU NAYE APITIWA
https://2.bp.blogspot.com/-lNldX5aZ5gw/WjfOZCHoN8I/AAAAAAAAVeY/bPqlPcZjD2MmKlhbdlJvwBaVHggeG7BHwCLcBGAs/s640/kanisa%252Bpic.jpg
https://2.bp.blogspot.com/-lNldX5aZ5gw/WjfOZCHoN8I/AAAAAAAAVeY/bPqlPcZjD2MmKlhbdlJvwBaVHggeG7BHwCLcBGAs/s72-c/kanisa%252Bpic.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/12/askofu-mkuu-wa-kanisa-la-eagt.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/12/askofu-mkuu-wa-kanisa-la-eagt.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy