http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Rais Magufuli atimiza ahadi kwa kushusha kodi kwa wafanyakazi hadi asilimia 9


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Rais John Magufuli ameshusha kodi ya mapato ya mshahara (paye) kwa wafanyakazi kutoka asilimia 11 mpaka asilimia tisa. Rais Magufuli ...

Sumaye: Sirudi CCM hata waninyang’anye Mashamba Yangu Yote
Morocco kujenga uwanja wa Mpira mkoani Dodoma.
Vigogo Bandari Kizimbani kwa Rushwa ya Bilioni 8


Rais John Magufuli ameshusha kodi ya mapato ya mshahara (paye) kwa wafanyakazi kutoka asilimia 11 mpaka asilimia tisa. Rais Magufuli alitangaza punguzo hilo leo mjini Dodoma alipokuwa akihutubia kwenye siku ya wafanyakazi duniani ambayo kitaifa imefanyika Dodoma.

 Amesema wafanyakazi wamekuwa waaminifu katika kulipa kodi ambayo inachangia kwenye maendeleo ya taifa kupitia mishahara yao. Alisema kwa kuwa bado vita dhidi ya wafanyakazi hewa na ufisadi inaendelea, ataangalia namna ya kuboresha mishahara yao hapo baadaye.


 “Niliwaahidi wakati wa kampeni zangu kuwa nitapunguza kodi ya mapato kwenye mishahara yenu; sasa natamka kuwa nashusha kodi kutoka asilimia 11 hadi asilimia tisa. Najua punguzo hilo litakuwa limeacha pengo kwa serikali, lakini tutaangalia vyanzo vingine vya mapato vya kujazia hapo,” alisema Rais Magufuli.


 Kuhusu wafanyakazi hewa, Rais amesema mpaka jana idadi ya wafanyakazi hewa imefikia 10,295. Amesema wafanyakazi hao hewa wamelipwa zaidi ya Sh 11 bilioni na kama wangeendelea kuachwa kwa mwaka mzima wangelipwa zaidi ya Sh 139 bilioni. Rais Magufuli ameapa kuwashughulika popote walipo.


 Pia amewaagiza waajiri wote nchini kuwapa mikataba ya ajira wafanyakazi wao na kuhakikisha wanapeleka michango yao kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii bila kukosa.





Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Rais Magufuli atimiza ahadi kwa kushusha kodi kwa wafanyakazi hadi asilimia 9
Rais Magufuli atimiza ahadi kwa kushusha kodi kwa wafanyakazi hadi asilimia 9
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhHM3AHC_m355Fa3VaUfq-iMxp0BEEuCcfcvssPVrhSBFGg9pjEWsJ18PQ-1CsdnIN-ujNXL4ePm4lQGayLMPgAeHTHakHiu4teg32YI2DwTnfU2CVxHmOmRqlHDcrpEgBCzGChH1zpMua3/s640/%255BUNSET%255D.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhHM3AHC_m355Fa3VaUfq-iMxp0BEEuCcfcvssPVrhSBFGg9pjEWsJ18PQ-1CsdnIN-ujNXL4ePm4lQGayLMPgAeHTHakHiu4teg32YI2DwTnfU2CVxHmOmRqlHDcrpEgBCzGChH1zpMua3/s72-c/%255BUNSET%255D.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2016/05/rais-magufuli-atimiza-ahadi-kwa.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2016/05/rais-magufuli-atimiza-ahadi-kwa.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy