http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Kauli za Rais Magufuli Zawa Gumzo Nchini


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Kauli mbalimbali zinazoendelea kutolewa na Rais John Magufuli, zimezua mjadala miongoni mwa wasomi nchini. Kwa mfano, wanasema...

Raila Odinga awataka wafuasi wake wagome kwenda kazini
RUBANI AFARIKI DUNIA BAADA YA NDEGE YAKE KUANGUKA ARUSHA
UHURU KENYATTA ATANGAZWA KUWA MSHINDI WA URAIS KENYA
Kauli mbalimbali zinazoendelea kutolewa na Rais John Magufuli, zimezua mjadala miongoni mwa wasomi nchini.

Kwa mfano, wanasema kauli ya kukosoa udahili wa wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) na ile ya kuelekeza hatua za kuchukua dhidi ya watu wanaotumia kimakosa barabara za Mabasi Yaendayo Haraka (Udart), inaashiria kuna tatizo kubwa la utendaji serikalini.

Walisema ni jambo lisiloingia akilini, wanafunzi wadahiliwe na kuanza masomo kisha baadaye wafukuzwe kwa maelezo kuwa Serikali haiwezi kulipia ada wanafunzi ‘vilaza’.

Akizungumzia kauli hizo jana, Mhadhiri wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Dk James Jesse alisema hakuna sheria za usalama barabarani zinazotamka mtu akifanya kosa gari lake litolewe magurudumu.

Juzi wakati akiweka jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa maktaba ya kisasa ya UDSM, Rais Magufuli alisema mpango maalumu uliopitishwa na Serikali ya Awamu ya Nne wa wanafunzi kusoma diploma ya ualimu Udom, unajumuisha waliofeli.

Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Hamad Salim alihoji: “Rais amesema wanafunzi waliopo Udom ni vilaza ila waziri wa elimu (Profesa Joyce Ndalichako) alisema wanafunzi wanaosoma mafunzo hayo hakuna aliyepata daraja la nne. Sasa hapo nani mkweli.”

“Kupishana huku kwa kauli kunatupa mashaka na utendaji kazi wa baadhi ya viongozi serikalini."

Hamad alisema suala kama hilo lilipaswa kutolewa ufafanuzi na waziri husika na si Rais.


Alisema umefikia wakati wa kiongozi huyo mkuu wa nchi kubaini changamoto na kutoa maelekezo na si kuzungumzia kila kitu.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Kauli za Rais Magufuli Zawa Gumzo Nchini
Kauli za Rais Magufuli Zawa Gumzo Nchini
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjpiZqwVrJct0-ug8lH3LAIu3R3NyxGBXle7ZxqewK0W6aNPns53Zog0fe65oPpU2TS0OJ0IUHYjvBYFAY-1NCpNgoFlucSV4Sj_kwBe3XEOsnJkar6gRn_vrayuOpQP_7rNpEbHUk2FnI/s640/magufuli.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjpiZqwVrJct0-ug8lH3LAIu3R3NyxGBXle7ZxqewK0W6aNPns53Zog0fe65oPpU2TS0OJ0IUHYjvBYFAY-1NCpNgoFlucSV4Sj_kwBe3XEOsnJkar6gRn_vrayuOpQP_7rNpEbHUk2FnI/s72-c/magufuli.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2016/06/kauli-za-rais-magufuli-zawa-gumzo-nchini.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2016/06/kauli-za-rais-magufuli-zawa-gumzo-nchini.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy