http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

DADA WA BILIONEA MSUYA AMEUWAWA KINYAMA DAR


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Mtumishi wa Wizara ya Fedha, Aneth Msuya (30) ambaye ni mdogo wa Bilionea Erasto Msuya  aliyeuawa kwa kupigwa risasi 22 KIA, ameuawa kwa k...

Watu 21 wafariki katika ajali ya mgodi Iran
Waziri mwenye umri mdogo zaidi Somalia auawa
Watu wawili wamepoteza maisha na wengine 24 kujeruhiwa kutokana na ajali iliyotokea leo.

Mtumishi wa Wizara ya Fedha, Aneth Msuya (30) ambaye ni mdogo wa Bilionea Erasto Msuya aliyeuawa kwa kupigwa risasi 22 KIA, ameuawa kwa kuchinjwa nyumbani kwake eneo la Kigamboni jijini Dar Es Salaam.

Mmoja wa ndugu wa familia hiyo, Shujaa Khamis, jana alithibitisha kuuawa kwa Aneth, lakini alikataa kuingia kwa undani.

“Ni kweli wamemchinja usiku wa kuamkia leo (jana) na hapa nipo kwenye msiba hapa nyumbani (Mererani) kwa baba. Tumeambiwa wamechukua Tv tu,” alisema.

Hata hivyo, Khamis alikataa kueleza lolote kama wana mashaka na mauaji hayo zaidi ya kuliomba Jeshi la Polisi nchini, kuchunguza kiini cha mauaji hayo na kuwasaka waliohusika.

Habari nyingine kutoka Wizara ya Fedha, ziliwakariri baadhi ya watumishi wakisema wamepata taarifa za msiba huo, lakini hawajapewa taarifa rasmi.

“Tuna taarifa tunazisikia sikia kuwa ameauawa, lakini jana (juzi) tulikuwa naye kazini ila leo (jana) ndiyo tunasikia amechinjwa na watu wasiojulikana. Imetusikitisha sana,” alisema mmoja wa watumishi hao ambaye hakutaja jina kwa kuwa si msemaji.

Kamanda wa mkoa wa Kipolisi wa Temeke, Andrew Satta alipofutwa jana kuthibitisha taarifa za mauaji hayo alisema yuko kwenye kikao.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : DADA WA BILIONEA MSUYA AMEUWAWA KINYAMA DAR
DADA WA BILIONEA MSUYA AMEUWAWA KINYAMA DAR
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhy2Yd43FXfoHfKnT24Nc16-knDA-BVVXbGY46c6HLcPQadBj0VyqaCZvc1AiBR3FfTvrTRh2u-9uBsCI01QVEdc15Nq3MsMu-UEcDeb0GiT8CcqJBAqpzqq4hFNHVRGUl6llvv68UfVgWl/s640/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhy2Yd43FXfoHfKnT24Nc16-knDA-BVVXbGY46c6HLcPQadBj0VyqaCZvc1AiBR3FfTvrTRh2u-9uBsCI01QVEdc15Nq3MsMu-UEcDeb0GiT8CcqJBAqpzqq4hFNHVRGUl6llvv68UfVgWl/s72-c/1.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2016/05/dada-wa-bilionea-msuya-ameuwawa-kinyama.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2016/05/dada-wa-bilionea-msuya-ameuwawa-kinyama.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy