http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Mtoto wa Mbunge Anaswa Usiku na Golikipa Timu ya Mtibwa Sugar


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Naima Shaaakiwa na Saidi Mohamed ‘Nduda’. Dar es Salaam: Binti wa aliyekuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shaa (CCM), Naima Shaa amezua ...

Miss World Diana Edward aingia fainali za Beauty With A Purpose
Video: Diamond na Jah Prayzah wakitumbuiza Harare
Kundi la The Lox lasajiliwa na lebo ya Jay Z.


Dar es Salaam: Binti wa aliyekuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shaa (CCM), Naima Shaa amezua balaa kwa mara nyingine baada ya kunaswa akijiachia kwa mapozi ‘tata’ na golikipa namba moja wa Timu ya Mtibwa Sugar, Saidi Mohamed ‘Nduda’.


Naima Shaa akiwa na Manyika JR
Tukio hilo lililoacha gumzo kwa muda lilijiri katika Ukumbi wa Maisha Basement, Kijitonyama, Dar ambapo wawili hao walikuwa wamekwenda kustarehe.

Kwa kamera ya shushushu wetu, Nduda alifika ukumbini hapo akiwa na washkaji zake na Naima naye alikuwa kivyake lakini walipokutana hali ilibadilika na kuanza kufanya yao.


“Walionesha kama watu waliomisiana kitambo. Nduda alipomuona Naima tu, alimfuata harakaharaka na kuanza kupiga naye mapicha tata kabla ya kukumbatiana na kuzungumza kwa muda huku wengine wakisema kuwa ni mrithi wa aliyekuwa mpenzi wa mwanadada huyo ambaye ni kipa wa Simba, Peter Manyika Jr,” alifunguka shushushu wetu na kuongeza:

“Baada ya kujiachia kwa mapichapicha, wawili hao walipoulizwa kama kwa sasa ni wapenzi hawakuwa tayari kufunguka.

“Zaidi sana waliendelea kuburudika kwa muda kabla ya mwishoni kabisa kutokana na wingi wa watu waliokuwemo ukumbini hapo, haikujulikana mara moja kama waliondoka pamoja.”


Naima ambaye aliwahi kuwa mke wa mfanyabiashara wa jijini Dar, Mwanamboka, aliwahi kuripotiwa kumzidi kete aliyekuwa shosti wake, Wema Isaac Sepetu na kudaiwa kumpora kigogo wake aliyekuwa maarufu kwa jina la CK.

Mbali na hilo, pia aliwahi kuripotiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na msanii wa Bongo Fleva, Aslay Isihaka ‘Dogo Aslay’ hadi kujichora tatuu ya msanii huyo. Baada ya kuachana na Dogo Aslay, Naima alitumbukia kwenye penzi la Peter Manyika Jr kabla ya uhusiano wao kukata kamba miezi kadhaa iliyopita.


Naima Shaa akiwa na Dogo Aslay.



Credity Global Publishers











Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Mtoto wa Mbunge Anaswa Usiku na Golikipa Timu ya Mtibwa Sugar
Mtoto wa Mbunge Anaswa Usiku na Golikipa Timu ya Mtibwa Sugar
https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2017/01/naima.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/01/mtoto-wa-mbunge-anaswa-usiku-na.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/01/mtoto-wa-mbunge-anaswa-usiku-na.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy