http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

RC Arusha Mrisho Gambo Arejesha fedha zaidi ya shilingi milioni 1.3 alizokuwa amelipwa kwa ajili ya kuhudhuria kilele cha Mwenge.


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo leo ametekeleza agizo la Rais Magufuli la kusitisha safari ya kwenda Mkoani Simiyu kwenye shere...

Rais afanya uteuzi mwingine
Watu watano wapoteza maisha, sita Wajeruhiwa Katika Ajali Kabuku Mkoani ...
Ndege yenye abiria 71 yaanguka baada ya kupoteza mawasiliano


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo leo ametekeleza agizo la Rais Magufuli la kusitisha safari ya kwenda Mkoani Simiyu kwenye sherehe za kuhitimisha kilele cha mbio za mwenge wa Uhuru kwa kurejesha kiasi cha Jumla ya Shilingi 1,389,300.

Fedha hizo yalikuwa ni malipo kwa ajili ya Mkuu wa Mkoa, Msaidizi wa Mkuu wa Mkoa , Dereva wa Mkuu wa Mkoa na gharama za mafuta.


Akiongea na mwandishi huyu ofisini kwake leo, mkuu huyo wa Mkoa wa Arusha amesema wakati agizo hilo linatolewa yeye alikuwa bado hajaanza safari ya kuelekea mkoani Simiyu, na kwamba amelipokea bila kinyongo na mara moja akaamua kurejesha posho hiyo, akionesha stakabadhi ya kuthibitisha hilo.


Kwa mujibu wa mchakato wa malipo ya posho kwa safari hiyo ya kwenda mkoani Simiyu kwa siku tatu, posho ya RC ilikuwa ni Sh 360,000, Msaidizi wa RC Sh 240,000, posho ya dereva 24,000 na Sh 549,300 kwa ajili ya Mafuta ya gari.


Pia RC Gambo ameahidi kusimamia zoezi hilo kwa wahusika wote mkoani Arusha na kuhakikisha wanatekeleza agizo hilo kwa wakati na fedha hizo zielekezwe kwenye ujenzi wa madarasa kama sehemu ya maandalizi ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza, darasa la kwanza na darasa la awali kwa mwaka 2017.

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : RC Arusha Mrisho Gambo Arejesha fedha zaidi ya shilingi milioni 1.3 alizokuwa amelipwa kwa ajili ya kuhudhuria kilele cha Mwenge.
RC Arusha Mrisho Gambo Arejesha fedha zaidi ya shilingi milioni 1.3 alizokuwa amelipwa kwa ajili ya kuhudhuria kilele cha Mwenge.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0M6My3D6Y3FPbpZ2SfS1DZ-HcLe-M2fyXPPo2wFajq6YOkVZMn-PLdBRHVa9S_5hJZwKM2nTFhXEFSs_56smU9dwLlZ8-V4NVggE3I7Q14XA8vGsbfJ-9jS7OYq4vO0cD680ajFf1euE/s1600/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0M6My3D6Y3FPbpZ2SfS1DZ-HcLe-M2fyXPPo2wFajq6YOkVZMn-PLdBRHVa9S_5hJZwKM2nTFhXEFSs_56smU9dwLlZ8-V4NVggE3I7Q14XA8vGsbfJ-9jS7OYq4vO0cD680ajFf1euE/s72-c/1.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2016/10/rc-arusha-mrisho-gambo-arejesha-fedha.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2016/10/rc-arusha-mrisho-gambo-arejesha-fedha.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy