http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

Shilole Ataja Sababu Inayomfanya Abadili WANAUME Kama Nguo


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

Msanii wa bongo fleva, Zuwena Mohamed alimaarufu kama Shilole amefunguka zile tetesi za yeye kubadilisha wanaume kama nguo na kusema siyo...

Bilioni 1 ya tz imetumika kutengeneza studio ya wanene,
Stamina ailalamikia Walk It Off ya Fid Q,asema kapunjwa mistari.
Video: Majibu ya Abdu Kiba Kuhusu kujiunga WCB ya Diamond Platnumz

Msanii wa bongo fleva, Zuwena Mohamed alimaarufu kama Shilole amefunguka zile tetesi za yeye kubadilisha wanaume kama nguo na kusema siyo kweli kwamba yeye anapenda kufanya hivyo ila wanaosababisha yote hayo ni wanaume wenyewe kutotulia.


Shilole amebainisha hayo kupitia kipindi cha Kikaangoni kinachorushwa mubashara kupitia ukurasa wa Facebook ya EATV.


Shilole baada ya kuulizwa swali na shabiki alidai kuwa yeye anapenda sana kutulia ila wanaume ambao huwa anawapata ndiyo huwa hawatulii jambo ambalo linamfanya yeye aonekane hajatulia.


"Sisi wanawake inapotokea upo katika mahusiano halafu ukaachana na mtu huyo unaonekana 'malaya' lakini kumbe siyo kweli wakati mwingine mtu unakuwa unashindwa kuvumilia matatizo ya mahusiano ukaamua kutoka kwenda kwa mwingine kwa kuwa siyo ndoa sasa ya nini niendelee kuteseka katika mahusiano". Alisema Shilole


Mbali na hilo Shilole amesema kuwa amekuwa na bahati mbaya sana kwenye mahusiano kwani mara nyingi kila mwanaume anayempata huwa yeye amewazidi umri jambo ambalo linafanya watu wahisi kuwa wanapenda kutoka na watoto wadogo.


"Kiukweli saizi siwakubali hao Serengeti boys, ila nina bahati mbaya maana kila mwanaume ambaye huwa ninampata unakuta nimemzidi umri kidogo, lakini kweli sipendi hicho kitu, mimi nampenda mwanaume yoyote yule ili tu anatakiwa awe anafanya kazi, hata kama ni mchota maji, mwanaume ambaye hana kazi sina muda naye kwa sasa maana hatakuwa na thamani ya kuwa mwanaume atakuwa ni 'Marioo' na mimi hao watu saizi hawana nafasi kwangu" alisisitiza Shilole

Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Shilole Ataja Sababu Inayomfanya Abadili WANAUME Kama Nguo
Shilole Ataja Sababu Inayomfanya Abadili WANAUME Kama Nguo
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQyr-RLOHf4YNksDcMbm2PmzVP_XsJRDq_MFDnt-GQ9pPu3ZOYOxzmsIr7yeoVFQOqmPhqhl2xXCYnHODX-G5fI1sq6VWkKKfmToKEQiJeLo5YOLLl7eNCS2QuhdJSvZJIQ-etCRkKckFw/s1600/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQyr-RLOHf4YNksDcMbm2PmzVP_XsJRDq_MFDnt-GQ9pPu3ZOYOxzmsIr7yeoVFQOqmPhqhl2xXCYnHODX-G5fI1sq6VWkKKfmToKEQiJeLo5YOLLl7eNCS2QuhdJSvZJIQ-etCRkKckFw/s72-c/1.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/05/shilole-ataja-sababu-inayomfanya.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/05/shilole-ataja-sababu-inayomfanya.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy