http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

post-feature-image

MADERVA WANAOTUMIA LUGHA CHECHEFU WAONYWA WASIO NA FIRST AID WAPIGWA FAINI


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

  Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini limewataka madereva kufuata sheria za Usalama Barabarani ambapo limewataka madereva...

Gazeti la Dira kushtakiwa kwa utapeli
Polisi watawanya mahafali mengine ya CHADEMA
NAPE ASEMA LOWASSA NI ALAMA YA UFISADI

 

Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini limewataka madereva kufuata sheria za Usalama Barabarani ambapo limewataka madereva hao kutoa lugha nzuri na rafiki kwa abiria Pamoja na kuongea nao kabla ya safari kuanza huku likiwapiga faini madereva ambao hawana sanduku la dhalula.

Akiongea leo Alfajiri octoba 16,2024 Katika kituo cha Mabasi yaendayo Mikoani na Nchi Jirani jijini Arusha Mkuu wa kitengo cha Elimu kwa Umma na Mafunzo kutoka Makao Makuu ya kikosi cha Usalama Barabarani Nchini Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Michael Deleli amewaonya na kuwataka madereva kutumia lugha nzuri kwa abiria wanaowahudumia.

Ameongeza kuwa endapo dereva hatopata shukrani kutoka kwa abiria atambue kuwa ajatoa huduma nzuri kwa abaria wake ambapo amewataka madereva kufuata sheria za usalama barabarani na kutoa huduma nzuri ili abiria waridhike na huduma wanazotoa kila mara.

ACP Deleli akasisitiza suala la kuongea na abiria kabla ya safari ili kutambua changamoto za abiria wao huku akiwataka kutumia lugha nzuri amabazo wanazitoa kwa wateja wao kabla na wakati wote wa safari.

Nae Domisiano Msakalile ambaye ni miongoni mwa abiria wanatumia vyombo hivyo licha ya kushukuru kikosi cha usalama barabarani nchini kwa kuendelea kutoa elimu kwa madereva na abiria amebainisha kuwa elimu hiyo imemuongezea maarifa na utambuzi wa mambo na haki zake kama abiria anayetumia vyombo hivyo.

Kwa upande wa madereva wanaofanya safari zao kutoka Mkoani Arusha Kwenda mikoa mbalimbali na nchi Jirani pamoja na kushukuru kikosi cha usalama Barabarani kwa kutoa elimu wakawaangushia lawama abiria ambao wamekuwa wakiwalazimisha kushuka na kupata huduma mbalimbali za kijamii maeneo yasio ruhusiwa kupata huduma husika.


Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : MADERVA WANAOTUMIA LUGHA CHECHEFU WAONYWA WASIO NA FIRST AID WAPIGWA FAINI
MADERVA WANAOTUMIA LUGHA CHECHEFU WAONYWA WASIO NA FIRST AID WAPIGWA FAINI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYIa_Nd8oq-V02ak7H1JyW7Wb6FE93Z5Wn1XjWHg7KA4F3qx_ZF0ugrzVNe3j7JDAE4lVyRhuqIBphjG-n-lJT_7Qx-lAh_h1CW0kR5f04WZQFXh_H8LYoLxAu2YoqZWnORNbc2arX9RkQGEtjcXK6RBORLRdwJxJPGiJTFewKoyEvtgebN9qaOlUL-dI/s320/JC9A8467-860x573.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYIa_Nd8oq-V02ak7H1JyW7Wb6FE93Z5Wn1XjWHg7KA4F3qx_ZF0ugrzVNe3j7JDAE4lVyRhuqIBphjG-n-lJT_7Qx-lAh_h1CW0kR5f04WZQFXh_H8LYoLxAu2YoqZWnORNbc2arX9RkQGEtjcXK6RBORLRdwJxJPGiJTFewKoyEvtgebN9qaOlUL-dI/s72-c/JC9A8467-860x573.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2024/10/maderva-wanaotumia-lugha-chechefu.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2024/10/maderva-wanaotumia-lugha-chechefu.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy