http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

Jamaa Atolewa Mswaki Tumboni Uliokwama kwa Siku Sita

Madaktari katika Hospitali Kuu ya Mkoa ya Pwani (CPGH) mjini Mombasa, Kenya wamefanikiwa kuutoa mswaki ambao ulikuwa umekwama tumboni m...

Madaktari katika Hospitali Kuu ya Mkoa ya Pwani (CPGH) mjini Mombasa, Kenya wamefanikiwa kuutoa mswaki ambao ulikuwa umekwama tumboni mwa mwanamume mmoja kwa siku sita.
David Charo alikuwa akipiga mswaki alipoumeza kimakosa Jumapili wiki iliyopita apokuwa anajiandaa kwenda kazini Bamba, Kilifi.
Kufikia jana, alikuwa ameanza kupata matatizo ya kupumua.
Awali, madaktari walikuwa wamedokeza kwamba angehitaji kufanyiwa upasuaji kuutoa.
Lakini Ijumaa asubuhi, madaktari wakiondozwa na Ramadhan Omar wamefanikiwa kuutoa mswaki huo bila kumfanyia upasuaji wa kawaida.
Badala yake, wamemfanyia upasuaji wa kutumia matundu madogo.
Jumapili, Charo alipokuwa alipoumeza mswaki huo kimakosa, awali ulikwama ndani ya koo kabla ya kutumbukia ndani tumboni.
Juhudi za nduguye mdogo Julius Charo za kuutoa hazikufanikiwa na ikalazimu wamkimbize hospitali iliyokuwa karibu.
"Tulipompeleka kwenye hospitali hiyo, madaktari walitushauri kumleta katika hospitali hii ya Pwani ambapo alipigwa picha ya x-ray, lakini kwa muda hakufanyiwa matibabu yoyote," Bw Julius aliambia gazeti la Nation.
"Ninaweza tu kulala au kusimama. Siwezi kujikunja au kuinama. Ninapojaribu kujipinda, nausikia mswaki ukinibana," alisema awali alipokuwa anahojiwa na gazeti la Nation.
Akizungumza na gazeti la kibinafsi la Star awali, Bw Charo alikuwa amesema amekuwa akiutumia mswaki huo kupiga mswaki kwa miaka 20.
"Ni makosa tu kwamba uliteleza kutoka mikononi mwangu Jumapili. Lakini hali yangu ni nzuri," alisema.

COMMENTS


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

MAGAZETI$type=sticky$count=4


Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Jamaa Atolewa Mswaki Tumboni Uliokwama kwa Siku Sita
Jamaa Atolewa Mswaki Tumboni Uliokwama kwa Siku Sita
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWbgvvJ9gckzbW6Q8hivW0ihyphenhyphen3cdRsNDI5ka1Vwl2ZRGDtxoOtW3SMdmAM4Q33oaq9IRzqCwYfvOQLjEsKsrbo7C3vsMaLKyL3Xv9hweaxjXDrlblBO19phI3c2pJpBcVAepE2spPutpY/s640/_100730690_a677bd87-cefa-42dc-a41c-ca6e043f4c7e.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWbgvvJ9gckzbW6Q8hivW0ihyphenhyphen3cdRsNDI5ka1Vwl2ZRGDtxoOtW3SMdmAM4Q33oaq9IRzqCwYfvOQLjEsKsrbo7C3vsMaLKyL3Xv9hweaxjXDrlblBO19phI3c2pJpBcVAepE2spPutpY/s72-c/_100730690_a677bd87-cefa-42dc-a41c-ca6e043f4c7e.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2018/04/jamaa-atolewa-mswaki-tumboni-uliokwama.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2018/04/jamaa-atolewa-mswaki-tumboni-uliokwama.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy