http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

MWAKYEMBE: "KUNA TATIZO KUBWA KWA BAADHI YA VIONGOZI"

waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo Dk Harison Mwakyembe, akizungumza katika ufumbuzi wa kikao Kikao kazi ya 14 cha maafisa haba...

waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo Dk Harison Mwakyembe, akizungumza katika ufumbuzi wa kikao Kikao kazi ya 14 cha maafisa habari, mawasiliano na uhusiano serikalini  

NA RAYMOND WILLIAM
Kikao kazi ya 14 cha maafisa habari, mawasiliano na uhusiano serikalini lenye lengo la kuwapa maafisa habari uwezo wakuyasemea yale yanayotendwa na serikali ya Tanzania katika awamu ya 5 inayo ongozwa na Dk John Magufuli, Imeanza siku ya leo jijini Arusha. 

Kikao hicho ambacho kitadumu ndani ya siku 5, kuanzia leo 12/3/2018 mpaka 16/3/2018 ambapo kikao hicho kimefunguliwa na mgeni rasmi waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo Dk Harison Mwakiymbe.

Akitoa hotuba ya ufumbuzi wa kikao hicho Mwakyembe amewataka maafisa habari kuuwisha tovuti za halmashauri kwa kuweka habari zinazotokana na Halmashauri zao ikiwa na lengo la kuongeza uwezo wa serikali kuipatia jamii habari kwa haraka.

Ameongeza kwa kuwataka mahafisa habari kutogeuza tovuti hizo kuwa magofu ya habari badala yake wafanye yawe majokofu ya taarifa ya habari kwa wanajamii wao wanao wazunguka

“Lengo la mradi wa tovuti kitaifa kuongeza uwezo wa serikali kuwapatia wananchi Habari na taarifa kwa haraka, tuko katika kipindi muhimu ya mageuzi katika historia ya nchi yetu, amabpo mengi yanafanyika serikalini kiuchumi na kijamii, lakini hayaelezwi. Tovuti zifanye kazi hiyo, Maafisa habari mmesomea uandishi wa habari wekeni habari na taarifa kwa njia ya picha mnato, picha jongevu maandishi na hata kwa sauti na ziwe fupi fupi ili watu waamasike kutazama au kutembelea tovuti zenu mara kwa mara. Tovuti hizi zisigeuke kuwa Magofu ya habari bali ziwe majokofu ya habari”
waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo Dk Harison Mwakyembe, akizungumza katika ufumbuzi wa kikao Kikao kazi ya 14 cha maafisa habari, mawasiliano na uhusiano serikalini  

Mwakiymbe amezitaja halmashauri zinazofanya vizuri katika kuhuwisha tovuti zao kwa kuweka taarifa zinazotokana na halmashauri zao ni jumla ya Halmashauri tisa: Kishapu, Mtwara ,mikindani, Mufindi, Mlele katavi, Kinondoni, Ilala, Ubungo na Kibaha.

Pia amezitaja mikoa ambazo zinafanya vizuri zaidi katika kuhuwisha taarifa zao katika tovuti ikiwa ni Mwanza, Mara, Kagera, Tabora, Shinyanga, Simiyu, Arusha, Tanga, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Rukwa, Mbeya, Iringa, Morogoro, Geita, Katavi na Songwe.

Hataivyo amekiri kuwepo kwa tatizo kubwa kwa upande wa baadhi ya viongozi ya kutokuona umuhimu wa mawasiliano yakaribu na uma ndiyo maana halmashauri nyingi azina maafisa habari na akuna anae jali na kuwepo kwa maafisa walioshikilia nafasi hizo huku awana taaluma hiyo na wengine wapo lakini awatambuliki kama wapo na wanaumuhimu wao.

COMMENTS


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

MAGAZETI$type=sticky$count=4


Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : MWAKYEMBE: "KUNA TATIZO KUBWA KWA BAADHI YA VIONGOZI"
MWAKYEMBE: "KUNA TATIZO KUBWA KWA BAADHI YA VIONGOZI"
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8fOL72Y4ATw_VhUn2N55c0KMCYD-3HMjXaDCw6O_yhZ6-_bgohghmMGP1uabwCXwvOO4gBvm7XNUFyl5o6Cweus032UnOhkfB06gW3ryxoRg2u1EE0dnN0dGk3zrD-UZ_OuNsTkCq-tMW/s640/IMG_009322222.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8fOL72Y4ATw_VhUn2N55c0KMCYD-3HMjXaDCw6O_yhZ6-_bgohghmMGP1uabwCXwvOO4gBvm7XNUFyl5o6Cweus032UnOhkfB06gW3ryxoRg2u1EE0dnN0dGk3zrD-UZ_OuNsTkCq-tMW/s72-c/IMG_009322222.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2018/03/mwakyembe-kuna-tatizo-kubwa-kwa-baadhi.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2018/03/mwakyembe-kuna-tatizo-kubwa-kwa-baadhi.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy