http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

BREAKING: Kodi za nyumba za miezi 6 na mwaka kupigwa Marufuku Tanzania

Moja ya habari kubwa kutokea Bungeni Dodoma leo November 17, 2017 ni pamoja na kauli ya Serikali kuhusu kubadilisha utaratibu ambao umeku...

Serikali Kuwatetea Wapangaji wa Nyumba Kuja na Mpango wa Kulipa Kodi kwa Mwezi Mmoja Mmoja
Moja ya habari kubwa kutokea Bungeni Dodoma leo November 17, 2017 ni pamoja na kauli ya Serikali kuhusu kubadilisha utaratibu ambao umekua ukitumika na wenye nyumba kwamba Mpangaji yeyote ni lazima alipie kodi ya pango kwa miezi 6 hadi mwaka. Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angeline Mabula alitolea ufafanuzi baada ya kuulizwa swali na Mbunge wa viti maalum CCM Halima Bulembo aliyehoji Serikali ni lini itabadilisha sheria hiyo.

Serikali kupitia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema kuwa iko kwenye mchakato wa kuanzisha mamlaka itakayo simamia masuala ya kodi ya nyumba itakayo fanya ukomo wa kodi kulipwa kwa mwezi mmoja na si miezi sita wala kumi na mbili.

Hayo yamezungumzwa na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Angelina Mabula wakati akijibu swali la Mbunge Halima Bulembo aliyehoji

Je, ni lini sasa serikali itafuta utaratibu wakulipa kodi kwa miezi 6 au mwaka na sisi kama bunge tutunge sheria itakayo walazimisha wamiliki wote kupokea kodi ya kila mwezi badala ya mwaka au miezi sita kama ilivyo sasa?

“Naomba nimtaarifu Mhe. Mbunge pamoja na wabunge wizara tayari imekwisha liona hilo, na tayari tuko kwenye mchakato wa kuanzisha mamlaka itakayo simamia masuala yote ya nyumba na katika sheria, na hiyo sheria italetwa hapa bungeni. Tumeangalia suala la ukomo wa kutoa kodi za nyumba hiyo ya miezi sita na mwaka mmoja haita kuwepo,amesema Mabula.

“Tumeona inaumiza watu wengi kwahiyo kodi itakuwa inalipwa kwa mwezi mmoja mmoja na wakati huo huo utatakiwa kuweka kama amana ya miezi mitatu kwaajili ya shughuli zingine ambazo zinaweza kuwa, kwahiyo suala hilo limelisikia na tunalifanyia kazi ,” amesema Mabula. 

COMMENTS


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

MAGAZETI$type=sticky$count=4


Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : BREAKING: Kodi za nyumba za miezi 6 na mwaka kupigwa Marufuku Tanzania
BREAKING: Kodi za nyumba za miezi 6 na mwaka kupigwa Marufuku Tanzania
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEghb0Z53nT7sHYGKXtaCBuM3Gyh34ZRgap2zAd4YHGTnYV-k2Xgwyg_UTr8VES6Q2bQ_zipMX2X-R1e5iDG_s1FFgiB-Zi8tJHJ_AB1tCjc0PxH26p3IqaDDCM_MhcxGMJBqC17vmRL1wc/s640/0649-Angelina-Mabula-1-1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEghb0Z53nT7sHYGKXtaCBuM3Gyh34ZRgap2zAd4YHGTnYV-k2Xgwyg_UTr8VES6Q2bQ_zipMX2X-R1e5iDG_s1FFgiB-Zi8tJHJ_AB1tCjc0PxH26p3IqaDDCM_MhcxGMJBqC17vmRL1wc/s72-c/0649-Angelina-Mabula-1-1.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/11/breaking-kodi-za-nyumba-za-miezi-6-na.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/11/breaking-kodi-za-nyumba-za-miezi-6-na.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy