http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

CCM YAWATIMUA WASALITI Wasaliti wa 2015 Watupiwa Virago Huko Arusha,Yumo Bilionea Mkubwa Nchini.

CHAMA cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha inadaiwa kimewafukuza uanachama baadhi ya vigogo wake akiwamo Mwenyekiti wa chama hicho Wilaya ya Ar...




CHAMA cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha inadaiwa kimewafukuza uanachama baadhi ya vigogo wake akiwamo Mwenyekiti wa chama hicho Wilaya ya Arusha, Wilfred Soileli.


Wanachama hao wanatuhumiwa kukisaliti chama hicho kabla na baada ya uchaguzi mkuu wakidaiwa kuwa wafuasi watiifu kwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.


Wengine waliotimuliwa ni Mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa kutoka jimbo la Arumeru Magharibi Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC ) na mfanyabiashara maarufu wa madini ya vito, Mathias Manga na Julius Mungure wa Jimbo la Arumeru Mashariki.


Wakati vigogo hao mkoani Arusha ikielezwa wamevuliwa uanachama wiki iliyopita, Kamati ndogo ya Maadili ya CCM iliyokutana Dodoma iliwahoji wanachama wake ambao wanadaiwa kukisaliti chama hicho.


Hao ni Profesa Juma Kapuya, Nazir Karamagi na Ally Sumaye ambao wote wanadaiwa kukisaliti chama wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.


Wana CCM hao waliohojiwa na kamati hiyo iliyoongozwa na Naibu Katibu Mkuu Bara, Rodrick Mpogolo, ambaye gazeti hili lilipomtafuta kwa simu, haikupokewa.


Taarifa zilizosambaa jijini hapa jana jioni zilidai uamuzi wa kuwafukuza uanachama viongozi hao ulifanyika katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Mkoa wa Arusha kilichofanyika Jumamosi chini ya Mwenyekiti wa chama wa mkoa huo, Lekule Laizer.


Baadhi ya wajumbe wa kikao hicho walisema kuwa Soileli na Manga walituhumiwa kushirikiana kutoa siri na mikakati ya chama na kuipeleka kwa viongozi wa Ukawa hasa Lowassa ambaye alikuwa mgombea wa nafasi ya Rais.

“Hawa walionywa mara nyingi waache tabia ya kushirikiana na wapinzani hasa Lowassa lakini Manga aliwahi kusema yuko tayari kuchukuliwa hatua lakini asingeacha urafiki wake na Lowassa kwani siasa siyo uadui,” alisema mmoja wa wajumbe wa kikao hicho ambaye hakutata kutwa jina .

COMMENTS


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

MAGAZETI$type=sticky$count=4


Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : CCM YAWATIMUA WASALITI Wasaliti wa 2015 Watupiwa Virago Huko Arusha,Yumo Bilionea Mkubwa Nchini.
CCM YAWATIMUA WASALITI Wasaliti wa 2015 Watupiwa Virago Huko Arusha,Yumo Bilionea Mkubwa Nchini.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEia7GLlmGCLEeZG_-B0IjGgy1RTIOYixmTVORI3MMIKpDkC39__PnW-JECB7mNMvuJ8C1RlrZRV09j-s063CqYCfZw7krRw2g9HWvjdrIEaezCaLj7Lgn__Pa33aHQeWq5VmeYmo1iJ_oY/s640/CCMM.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEia7GLlmGCLEeZG_-B0IjGgy1RTIOYixmTVORI3MMIKpDkC39__PnW-JECB7mNMvuJ8C1RlrZRV09j-s063CqYCfZw7krRw2g9HWvjdrIEaezCaLj7Lgn__Pa33aHQeWq5VmeYmo1iJ_oY/s72-c/CCMM.jpg
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/02/ccm-yawatimua-wasaliti-wasaliti-wa-2015.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/02/ccm-yawatimua-wasaliti-wasaliti-wa-2015.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy