http://wepesimedia.blogspot.com/p/blog-page.html

Ajinyonga Adi Kufa Baada Ya Kumnyimwa chakula (Kitoweo) na Mkewe...!!!

Mkazi mmoja wa kijiji cha Kalundi kilichopo kata ya Kipande wilayani Nkasi, Vedast Kazumba (51) amejiua kwa kujinyonga kwa kile kinachoda...


Mkazi mmoja wa kijiji cha Kalundi kilichopo kata ya Kipande wilayani Nkasi, Vedast Kazumba (51) amejiua kwa kujinyonga kwa kile kinachodaiwa kuwa alighadhabika, baada ya mkewe kumnyima kitoweo cha samaki mbichi.


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, George Kyando alithibitisha tukio hilo.


Alisema ni la usiku wa mkesha wa Mwaka Mpya na kwamba Kazumba alifikia uamuzi huo mgumu kwa kujinyonga akitumia kamba ya katani .


Alieleza kuwa hakuna mtu yeyote anayeshikiliwa na polisi kuhusu tukio hilo na uchunguzi wake unaendelea .


Habari kutoka kijijini humo, zinaeleza kuwa chanzo cha Kazumba kujinyonga ni kukasirishwa na kitendo cha mkewe, Antoniata Mwisua kumnyima kitoweo cha samaki mbichi.


“Mke wa marehemu aitwae Antoniata alimwandalia mumewe huyo chakula cha usiku, kitoweo chake kikiwa ni samaki mbichi alimkomba samaki huyo kisha akamwomba amwongezee kitoweo kingine cha samaki, lakini mkewe alimweleza kuwa kitoweo hicho kimekwisha. Ndipo mumewe alipokasirika akidai kuwa mkewe amemnyima kwa makusudi kitoweo hicho ndipo alipochukua hatua ya kuzira kula“ alieleza mmoja wa mashuhuda kwa masharti ya kutoandikwa.


Akizungumzia mkasa huo , Mwenyekiti wa Kijiji cha Kalundi , John Kalasa alidai kuwa marehemu wakati wa uhai wake alikuwa ni mtu mwenye kujawa na ghadhabu ambapo mara kadhaa alisikika akitishia kujinyonga.

COMMENTS


TANGAZA NASISI KWA BEI NAFUU NA UPATE MATOKEO MAZURI KATIKA BIASHARA YAKO.

MAGAZETI$type=sticky$count=4


Name

BIASHARA NA UCHUMI BREAKING NEWS BURUDANI ENGLISH NEWS GOSIIP GOSPEL HABARI HABARI PICHA MAGAZETI MAKALA MATUKIO MICHEZO MUSIC VIDEO WAZO LANGU
false
ltr
item
WEPESI MEDIA : Ajinyonga Adi Kufa Baada Ya Kumnyimwa chakula (Kitoweo) na Mkewe...!!!
Ajinyonga Adi Kufa Baada Ya Kumnyimwa chakula (Kitoweo) na Mkewe...!!!
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgsURSLZVYJ0R7lUKmIHH2i1l-uWGYBCKEWx9YoD5xY4KG_teM6CHLz_LiYThtGX5vohkz955RFpUsPKY1EMRNAjEOLoMYkQQFNjXwHw348GwX8JTyWCT7GVEVR87zTyGpJxy3Zw_2-cfw/s1600/1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgsURSLZVYJ0R7lUKmIHH2i1l-uWGYBCKEWx9YoD5xY4KG_teM6CHLz_LiYThtGX5vohkz955RFpUsPKY1EMRNAjEOLoMYkQQFNjXwHw348GwX8JTyWCT7GVEVR87zTyGpJxy3Zw_2-cfw/s72-c/1.JPG
WEPESI MEDIA
https://wepesimedia.blogspot.com/2017/01/ajinyonga-adi-kufa-baada-ya-kumnyimwa.html
https://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/
http://wepesimedia.blogspot.com/2017/01/ajinyonga-adi-kufa-baada-ya-kumnyimwa.html
true
925270315725722404
UTF-8
Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All

USIPITWE NA HIZI HAPA CHINI LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy