Mashindano Makubwa ya 9 Ndani ya chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha AJTC imeingia leo kwenye fainali ya kupata madarasa matat...
| Wanafunzi wa AJTC wakiwa kwenye Ukumbi wa Chuo hicho wakisikiliza vipindi kutoka studio za 96.6 AJT FM PICHA NA SAMWELY WILSON |
| Majaji wa mashindano ya Utangazaji AJTC Steven Mulaki (kulia),Amos Ishengoma ( Katikati) na Jackline Joel (Kushoto) PICHA NA SAMWELY WILSON (NA Raymond William) |



